• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WASIMAMIZI WA VITUO WATAKIWA KUZINGATIA MAELEKEZO YA MAFUNZO

Posted on: October 25th, 2020

Mwakilishi wa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Muheza ambaye ni Afisa Uchaguzi Wilaya Muheza NMtakwimu wa Wilaya hiyo Nelson Mwankina jana tarehe 24/10/2020 amefunga mafunzo ya siku mbili yaliyoanza tarehe 23/10/2020 na kukamilika siku hiyo kwa kuwataka wasimamizi wa vituo na wasimamizi wasaidizi wa vituo kuzingatia elimu walioipata wakati wa mafunzo.

Akizungumza wakati akifunga mafunzo hayo Mwankina amewataka wasimamizi hao kutokuwa na mashabiki wa vyama vya siasa kufanya hivyo kutapelekea uvunjifu wa Amani kwenye vituo vya kupigia kura .

Aliongeza kuwa siku ya Uchaguzi tarehe 28/10/2020 , mtu yeyote haruhusiwi kuvaa vazi au sre inayoashiria chama chochote kile na atakaefanya hivyo kabla hajaingia kwenye kituo cha kupigia kura Mlinzi wa Kituo atawajibika kumtoa kituoni mtu huyo.

Akiendelea kutoa ufafanuzi wa sifa 3 za mtu atakaeruhusiwa kupiga kura,amesema antakiwa kuja na kadi ya mpiga kura na msimamizi wa ucghaguzi ahakikishe jina la mtu huyu kwenye daftari la kudumu la wapiga kura lililopo kituoni kma yumo,

Ikiwa sifa ya pili ni kwa mpiga kura ambaye atakuwa amepoteza kadi yake,  siku ya  kupigia kura atatakiwa kwenda kituoni akiwa na kitambulisho cha uraia, leseni ya udereva au pasi ya kusafiria nje ya Nchi ikiwa majina yaliyopo kwenye kitambulisho chake yatafanana na yale yaliyopo kwenye daftari la mpiga kura.

Katika hatua Nyingine Mtu anayetakiwa kupiga kura ni Yule ambaye hana kitambulisho cha mpiga kura, picha iliyopo kwenye daftari haionekani vizuri lakini majina yanafanana na hayo atakayomtajia Msimamizi msaidizi wa kituo namba moja.

Sambamba na hayo aliendelea kuwasisitiza wasimamizi wa vituo kuwahi mapema siku ya kupiga kura kabla ya saa 12:00 asubuhi ili waweze kuondoa mabango machapisho, yaliyowekwa na wagombea kipindi cha kampeni pamoja na kuweka mpangilio mzuri wa kituo cha kupigia kura ili ifikapo saa 1:00 asubuhi zoezi la upigaji kura lianze.

Katika hatua nyingine amewataka wasimamizi hao kuwa makini wakati wa makabidhiano ya vifaa kwa kuhakikisha wanpewa vifaa vitakavyotosheleza vituo watavyokwenda kuvifanyia kazi,  kushindwa kufanya hivyo kutaleta usumbufu na kupelekea zoezi lisiwe na ufanisi . pia jukumu la ulinzi wa vituo hivyo ni la kwao.

“Msimamizi ukishakabidhiwa vifaa kwa maandishi ni vya kwako , umekwenda navyo nyumbani, umelala navyo kitandani, umepeleka kituoni sisi haituhusu na iwapo vitapotea utawajibika kwa namna moja au nyingine “ alisema Nelson.

Aidha amewataka wasimamizi wa Uchaguzi kuhakikisha wanaweka kituturi mahali ambapo kuna usiri ili kumfanya mpiga kura kuwa huru kumpigia kura mgombea anaemtaka.

Kwa upande Mwingine amewataka wasimamizi wa Vituo kuwasilisha Matokeo ya Uchaguzi haraka iwezekavyo kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ngazi ya kata mara baada ya kukamilisha zoezi la kuhesabu matokeo na kubandika matokeo vituoni.










Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.