• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WANAWAKE WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ILI WAWEZE KUFIKIA MALENGO

Posted on: March 10th, 2022


Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhe Halima Abdallah Bulembo amewataka wanawake kuchangamkia fursa za kiuchumi na kielimu ili waweze kufikia malengo na ndoto walizonazo katika maisha yao. Ameyasema hayo alipokuwa Mgeni rasmi wakati wa kilele cha siku ya wanawake duniani kilichofanyika Marchi 8, 2022 katika Shule ya Msingi Lusanga na kuhudhuriwa wanawake wa Asasi za kiserikali, Binafsi, watumishi wa Halmashauri ya Wilaya Muheza, Madiwani wanawake, Mbunge wa jimbo la Muheza Mhe. Hamisi Mwinjuma almaarufu MWANA FA, na Wanafunzi wa Shule ya Msingi Lusanga.

Akizungumza katika sherehe hizo Mkuu wa Wilaya hiyo amewataka wanawake kujiendeleza kielimu wasiishie na kuridhika na Elimu walizonazo ili waweze kuwa na mafanikio mazuri katika maisha yao pasipokuwategemea wanaume zao.

Pia amewataka wakina mama kuwa na malezi bora kwa watoto wao kwa kuwatia moyo pale inapotokea wamekosea na kufeli katika harakati za kielimu ili kuwaepusha na maamuzi magumu wanayoweza kuchukua baada ya kuona wameshindwa na kubezwa na jamii inayowazunguka.

Vile vile amewataka kuanzisha miradi midogo midogo kukwepa kuwa ombaomba kwa kwa waume zao.

“Wakina mama wenzangu tusibweteke kwa kukaa majumbani bila shughuli yeyote tujitahidi japo tufungue miradi midogo midogo ya kuweza kutusaidia katika matumizi ya nyumbani sio kila kitu utegemee kuomba kwa mume wako atakuchoka na kukudharau, baba akilipia maji wewe lipia umeme” alisema Mhe Bulembo.

Aliendelea kutoa rai kwa wanawake wenye tabia ya kunyanyasa watoto wa waume zao na ndugu wa karibu kwa kuwachotesha maji na kuwapangia   wakati wa kujisomea kuacha tabia hiyo mara moja kwani kufanya hivyo ni kuwanyima haki yao ya msingi.

Kwa upande wake Mbunge wa jimbo la Muheza kupitia Chama cha Mapinduzi Hamisi Mwinjuma  amesema wanawake ni jeshi kubwa ambalo wanaweza kufanya maamuzi katika jamii hivyo basi waendelee kujiendeleza ili  waweze kuwa viongozi wakubwa kama ilivyo kwa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan na viongozi wengine wanawake waliopo katika nchi hii.

Awali akitoa historia ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani,Afisa maendeleo ya jamii Wilaya ya Muheza Bi. Vije Mfaume Ndwanga amesema Siku ya wanawake duniani hufanyika duniani kote kila Mwaka mnamo mwezi Machi 8 ikiwa lengo ni kuweka bayana masuala mbalimbali yanayowahusu wanawake kama vile ukatili wa kijinsia unaofanyika kwenye kundi hili lenye uhitaji maalum.

Wanawake wakiwa kwenye maandamano kutoka Bomani hadi Shule ya Msingi Lusanga
Maandamano ya wanawake yakiwasili katika Shule ya Msingi Lusanga Mbunge Hamisi Mwinjuma akiungana na wanawake katika kucheza Muziki wa asili ya kibondei Mgeni rasmi akikagua mabanda ya wanawake wajasiriamali








Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.