• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA MAKARANI WA SENSA

Posted on: August 25th, 2022


Wananchi watakiwa kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Makarani wa Sensa wanaofika katika kaya zao ili waweze kufanya kazi yao kwa weledi na ufanisi mkubwa katika muda uliopangwa na kutimiza adhima ya Serikali ya kumtaka kila Mwananchi ahesabiwe kwa maendeleo ya Taifa.

 Akizungumza na waandishi wa habari jana tarehe 24/8/2022 ofisini kwake, Mratibu wa Sensa Wilaya ya Muheza ambaye pia ni afisa takwimu wa Wilaya hiyo Ndugu Nelson Mwankina amesema Zoezi hilo la Sensa litafanyikawananchi wahakikishe wanaandaa mapema taarifa za wanakaya waliolala katika kaya yake usiku wa kuamkia siku ya sense yaani tarehe 23/8/2022.

Aliongeza kuwa Mkuu wa kaya ahakikishe anakuwa na vitambulisho vya vya NIDA, Kitambulisho cha mpiga kura, Bima, ya afya na taarifa sahihi za wanakaya wake ili kurahisisha na kupunguza muda wa karani kukaa katika kaya yake kwa muda mrefu nakumsaidia karani akahudumie wanakaya wengine.

“Nitoe wito kwa wananchi wa muheza pale karani anapotaka taarifa atoe kwa wakati, chonde chonde wananchi wa Muheza tunaomba ushirikiano wenu ili zoezi hili lifanikiwe kwa asilimia kubwa” alisema Mwankina.

Nae Amina Hatibu Ally kijana wa Miaka 24 mkazi wa Ubena kata ya Tanganyika ambaye amehesabiwa jana tarehe 24/8/2022 ametoa wito kwa vijana wenzake kujitokeza kuhesabiwa ili kuisaidia Serikali kupanga Mipango ya maendeleo ya Vijana.

“nawasihi vujana wenzangu wajitokezekwa wingi kuhesabiwa kwa kuwa Rais wetu akiona vijana wengi wamejitokeza kuhesabiwa na hawana ajira atatusaidia kupata ajira kwa maendeleo ya taifa letu” alisema Amina.




Karani wa Sensa (kushoto) akifanya mahojiano na Maimuna Ally mkazi wa Ubena kata ya Tanganyika Muheza jana tarehe 24/8/2022 Maimuna Ally akizungumza mara baada ya mahojiano na karani wa sensa Amina Hatibu miongoni mwa watoto wa Maimuna Ally aliyelala katika kaya hiyo usiku wa tarehe 23/8/2022 akizungumza mara baada ya mahojiano na karani wa sensa

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.