• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI WA MUHEZA WATAKIWA KUJIUNGA NA ICHF

Posted on: February 23rd, 2020

Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya Muheza Dk. Flora Kessy amewataka Wananchi kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya iliyoboreshwa ICHF. Ili kuweza kutatua changamoto ya upungufu wa dawa katika vituo vya kutolea Huduma Wilayani Humo. Akizungumza katika zoezi la upimaji wa Magonjwa yasiyoambukiza katika uwanja wa Jitegemee 22/2/2020  Amewaeleza Wananchi umuhimu wa kujiunga na ICHF  unasaidia kuwepo kwa dawa za kutosha katika vituo vya afya ameeleza  Pesa zinazopatikana katika ICHF hutumika kuongezea kununua dawa.

Vilevile mganga Mkuu amewataka Wananchi kufanya mazoezi ya viungo vya mwili ili kuweza kujikinga na Magonjwa yasiyoambukiza kama vie kisukari, shinikizo la damu, Magonjwa ya Moyo, pamoja na Magonjwa sugu yasababishayo kuziba kwa mfumo wa upumuaji  “mazoezi yanajenga mwili, kulinda mwili, na kukinga mwili na maradhi” amesema Mganga Mkuu Dk. Flora Kessy.

Sambamba na hayo Mkuu wa Wilaya Mhe. Mwanasha Rajab Tumbo alipata nafasi ya kuwashukuru Wananchi kwa kujitokeza kufanya mazoezi, kupima magonjwa yasiyoambukiza na kuchangia Damu kwaajili ya kuokoa maisha ya Watu. Pia ameipongeza Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Mhe. Rais John Pombe Magufuli kwa kuhakikisha Wananchi wanapata Huduma za Afya nzuri “ tunategemea kuanza kutoa huduma za Afya katika Hospitali ya Wilaya ya Muheza hivi karibuni” amesema Mwanasha Tumbo Mkuu wa Wilaya Muheza.

Aidha zoezi la huduma Mkoba lilianza tarehe 05/02/2020 na kuitimishwa Jumamosi leo tarehe 22/02/2020 katika tarafa ya Muheza kwa kupima Sukari, Shinikizo la Damu, uwiano wa urefu na uzito, uchunguzi wa macho na uchangiaji wa damu kwa hiari. Jumla ya Kata 12 Wilayani Muheza zilifikiwa na kupata huduma “tumeweza kuwafikia na kuwapa huduma jumla ya Watu 1416, Wanawake 866 na Wanaume 550” amesema Dr Elius Bahindi alipokuwa akisoma Taarifa fupi.

Mhe. Mwanasha Rajab Tumbo akipima afya katika zoezi la kupima Magonjwa yasiyoambukiza katika Uwanja wa jitegemee leo tarehe 22/02/2020 Mkuu wa Wilaya (katikati) pamoja na Wananchi wa Muheza wakifanya mazoezi ya Viungo vya Mwili Mkuu wa Wilaya Mhe. Mwanasha Tumbo akiongea na Wananchi katika uwanja wa Jitegemee baada ya kutoka kufanya mazoezi ya Mwili

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.