• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

WAKULIMA WAIOMBA SERIKALI KUVIWEZESHA VYAMA VYA USHIRIKA

Posted on: December 2nd, 2021


Wakulima wa Mazao ya Viungo Wilayani Muheza Mkoani Tanga Wameiyomba Serikali kuviwezesha Vyama vya Ushirika (Amcos) kwani Viimekuwa vikishindwa kununua Mazao yao jambo ambalo linachangia kuuza kwa Walanguzi.

Wakulima wametoa ombi hilo kwenye Kikao cha Jukwaa la Wadau wa Mazao ya Viungo kilichofanyika Wilayani humo tarehe Desemba 1 , 2021 katika Ukumbi wa Tate Plus na kuhudhuriwa na maafisa ugani, watendaji wa kata, watendaji vijiji, maafisa tarafa, wa maeneo yanayolima mazao ya viungo.

"Kipato cha mkulima kinatokana na kuuza Mazao kwasasa vyama vya ushirika vimekuwa havina fedha ya kumlipa Mkulima pindi anapouza Mazao hivyo niwazi kuwa Mkulima anakwenda kuuza kwa Walanguzi ili aweze kupata fedha kwa ajili ya maisha yake na hata kufanya maandalizi ya msimu mpya wa kilimo" Wamesema Wakulima.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Jukwaa la Wadau wa Mazao ya Viungo Wilayani humo Ayubu Mhina amekiri kuwepo kwa  Changamoto za kifedha zinazo zikabili Amcos hizo ambapo amesema wataendelea kusimamia Maelekezo ya Serikali ya kuhakikisha Wakulima wanauza mazao yao kupitia vyama hivyo lengo likiwa ni kumsaidia Mkulima kuuza kwa bei nzuri ili aweze kukuza Uchumi wake kupitia zao la viungo kwa kuweka utaratibu kuwa Wafanyabiashara wote wanapo taka kununua viungo hivyo lazima wafuate sheria ikiwemo kupitia kwenye vyama vya ushirika na sio kwenda kwa Wakulima moja kwa moja jambo amblo litasaidia hata Halmashauri kupata mapato yake.

Aidha Mgeni rasmi kwenye Kikao hicho Issa Msumari amewataka Wakulima kuendelea kuaminiana na kuongeza ushirikiano kwenye vyama vya Ushirika jambo ambalo litaweza kuwasaidia kuinua uchumi wao kwa mfumo wa kuuza kwenye vyama kuliko kuuza kwa Wafanyabiashara wanao kuja wakati wa msimu.

"kama wakulima wakiaminiana na kuwa na umoja wanapopeleka kuuza mazao yao kwenyeAmcos itasaidi mkulima kuona tija ya kilimo hicho kwakuwa yanahifadhiwa hadi pale bei itakapo kuwa nzuri " Alisema Msumari.  







Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Mhe, (Kulia ) Erasto Mhina akikabidhi vyeti vya kutambua Mchango wa Wadau wa Jukwaa la Viungo. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Mhe, Erasto Mhina akizungumza na Wadau wa Viungo namna ya kuboresha zao hilo. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Muheza Issa Msumari akielezea namna Wadau wanavyoweza kunufaika na kuondokana na changamoto mbalimbali zinazo wakabili katika kuinua zao hilo. Kaimu Afisa Kilimo wa Wilaya ya Muheza Adamu Nyeza alipokuwa akitoa ufafanuzi namna Serikali ilivyodhamili kuwasaidia Wakulima katika kupambana na Magomjwa ikiwemo Mnyauko ambao ulilikumba zao hilo hivi karibuni  Miongoni mwa Wakulima wa Mazoa ya Viungo alipokuwa akiwasilisha Changamoto mbalimbali ambazo zinawakumba Wakulima wa Mazoa hayo ikiwemo Swala ya Vyama vya Ushirika na Kuomba Serikali kuendelea kuwasaidia kupatikana kwa dawa za kukabiliana na Magonjwa mbalimbali.


Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.