• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

VYUMBA VYA MADARASA VYAKABIDHIWA MUHEZA

Posted on: January 6th, 2022

Vyumba vya Madarasa 67 vyenye dhamani ya shilingi Bilioni 1.42 katika Halmashauri ya Wilaya ya Muheza vimekamilika kwa asilimia mia na kukabidhiwa kwa Mkuu wa Wilaya Mhe, Halima Abdallah Bulembo, kati ya vyumba hivyo 57 ni vya sekondari Madarasa 10 ni vya Shule za msingi.

Hafla hiyo fupi ya Makabidhiano ya vyumba vya Madarasa ilifanyika siku ya jumatano tarehe 05 januari mwaka huu katika eneo la shule ya sekondari Chifu Mang’enya ambapo ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa siasa na serikali pamoja na Wakuu wa idara wa Halmashauri

Mkuu wa Wilaya Mhw, Halima Bulembo amesisitiza kuwa ujenzi huo wa Madarasa fedha zake zilitolewa na Mhe, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hassan zitumike kujenga vyumba vya madarasa Tanzania nzima ili kuwasaidia Wanafunzi ambao wamechanguliwa kujiunga na kidato cha kwanza kusoma katika mazingira mazuri

Awali Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Muheza Ndg, Nassib Mmbagga amesema kuwa ujenzi huo wa vyumba 67 vya madarasa ni historia ndani ya wilaya kwani haijawahi kutokea ndani ya mwezi mmoja na nusu kujengwa vyumba vingi vya madarasa kiasi hicho,ambapo ujenzi huo ungeweza kutumia miaka 21 akifafanua kuwa ujenzi huo umemaliza kabisa changamoto za upunguzu wa madarasa Wilayani humo.

“Alisema kama si ujenzi wa vyumba hivyo 67 basi wanafunzi wapatao 1440 wangekosa vyumba vya kusomea lakini kutokana na ujenzi huo changamoto hiyo imebaki kuwa historia ndani ya wilaya kwani madarasa yote yatatosheleza mahitaji ya wanafunzi.

Aidha Mwenyekiti wa Halmashauri ya Muheza Erasto Mhina amekili kuwa licha ya Wananchi wa Muheza kuboreshewa maisha yao kwakupata huduma mbalimbali ikiwemo za Elimu na Afya bado fedha hizo zimeinua Uchumi wa Wananchi katika kipindi Miradi inatekelezwa zaidi ya Mafundi 773 walishiriki.

Kwa upande wake Katibu wa CCM Wilaya ya Muheza Simon Leng’ese amewataka viongozi kwenda kuwaeleza Wananchi juu ya kazi zinazofanywa na Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzania katika kuhakikisha Wanafunzi wanapata elimu na Watanzania wanapata Huduma bora ya elimu.





Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Muheza Ndg, Nassib Mmbagga akimkabidhi ufunguo wa madarasa mkuu wa wilaya ya Muheza Mhe, Halima Bulembo katika hafla ya ukabidhi wa madarasa Mkuu wa Halmshauri ya wilaya ya Muheza Mhe, Halima Bulembo akizungumza wakati wa hafla ya ukabidhi wa madarasa. Picha za pamoja kati ya mkuu wa wilaya na watumishi mbalimbali wa serikali Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Ndg, Nassib Mmbagga (Juu), Pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Muheza Mhe, Erasto Mhina (Chini) wakizungumza kwenye hafla ya ukabidhi wa madarasa.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI, VIBARUA WAKUSANYAJI USHURU June 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI, NAFASI ZA WATENDAJI WA VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 01, 2024
  • TANGAZO LA NYONGEZA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSHWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII KUWAFIKIA WANANCHI VIJIJINI

    February 14, 2025
  • OMBI KUPATIWA HALMASHAURI YA PILI NDANI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUHEZA

    February 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.