• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

VIONGOZI WA DINI WATOA MSIMAMO KUHUSU CHANJO YA CORONA.

Posted on: September 28th, 2021


Kamati ya afya katika kuendelea na mapambano dhidi ya ugonjwa wa UVIKO 19 ikiongozwa na Mkuu wa wilaya ya Muheza Mh.Halima Bulembo wamepitisha mikakati mbalimbali yakukabiliana na ugonjwa wa UVIKO 19 ikiwa ni kuwaomba viongozi wa dini kutumia nafasi zao katika kuihamasisha jamii kujitokeza katika kupata chanjo.

Hayo yamesemwa katika kikao cha kujadili na kuweka mikakati ya utekelezaji wa mipango wa jamii shirikishi na harakishi wa chanjo dhidi ya UVIKO 19.

Akizungumza katika kikao hicho Mh. Bulembo amewaomba zaidi viongozi wa dini kuendelea kutumia nafasi zao katika kushauri na kuihamasisha jamii waweze kupata chanjo.

Aliongeza kuwa isiwe tu kuelimisha na kuhamasisha wananchi juu ya kupata chanjo ya UVIKO 19, bali amewataka wataalam kutoa elimu kufuatia chanjo nyingine pia zaidi kuangalia uhifadhi wake, ili kuwezesha wananchi kupata kinga safi na salama.

Awali mganga mkuu wa Halmashauri wa wilaya ya Muheza Dr. Flora Kessy amewataka wananchi kuendelee kuchukuwa tahadhari na kuzifwata sheria zote ambazo zimekuwa zikitolewa na wataalamu ikiwemo kupata chanjo ya CORONA, hivyo ameongeza kwamba jukumu la serikali ni kuona wananchi wake wanapatiwa chanjo kwani Taifa lenye maendeleo lazima liwe na afya.

Aidha alisema serikali imetoa kiasi cha Tsh mil 57,566.41 ili kuwezesha na kuharakisha shughuli zote pamoja na zoezi zima la utoaji chanjo katika Halmashauri yawilaya ya Muheza.

Baadhi ya viongozi walioshiriki katika hafla hiyo, ikiwemo viongozi mbalimbali wa dini, wameomba wataalam kuendelea kuielimisha jamii, ili kuweza kuwaondolea dhana potofu zilizojengeka dhidi ya UVIKO 19 na kuwaondolea hofu na zaidi wataendelea kushirikiana na wataalam wa afya kwa kutumia nafasi zao katika kuhamasisha na kushauri waumini wao waweze kupata chanjo kwaajili ya usalama wa afya zao. 


Mkuu wa wilaya ya Muheza Mh.Halima Bulembo akizungumza na wajumbe jana katika kikao cha kujadili na kuweka mikakakti na utekelezaji wa mipamgo wa jamii shirikishi na harakishi wa chanjo dhidi ya UVIKO 19. Mganga mkuu wa Halmashauri ya wilaya ya Muheza Dr Flora Kessy akielezea malengo ya kikao hicho ikiwemo na mikakati ya kukabiliana na ugonjwa wa UVIKO 19. Mwenyekiti wa kamati za huduma za jamii wa Halmashauri ya wilaya ya Muheza Moses Kisiki ambaye pia ni Diwani wa kata ya Genge akitoa mchango wake jinsi yakukabiliana na UVIKO 19 katika kikao.    Baadhi ya viongozi wa dini wakichangia mawazo mbalimbali ikiwemo kukubali kutumia nafasi zao katika kuihamasisha jamii. Mkuu wa Wilaya ya Muheza watatu kutoka kushoto akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wataalamu, viongozi wa dini pamoja na viongozi kutoka Halmashauri.










 

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.