• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

Uchangiaji Na Uhamasishaji Wa Ujenzi Wa Hosipitali Ya Wilaya Ya Muheza Wa Pamba

Posted on: July 27th, 2018

Kampuni ya Amboni Sisal Properties  iliopo kata ya Kigombe wilayani Muheza mkoani Tanga  imeakabidhi msaada wa fedha shilingi   Milioni Sita(6,000,000/=) kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa hospitali mpya ya wilaya ya Muheza.

Risiti ya Fedha hizo ilikabidhiwa leo tarehe 27/07/2018   na  mwenyekiti wa bodi ya kampuni ya Amboni  Properties Neemiah Mchechu katika kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Muheza.

Fedha hizo zilikabidhiwa kwa mwenyekiti wa kamati ya uchumi,ujenzi na mazingira David Buge ambae pia ni diwani wa kata ya  Misalai wilayani Muheza

Akizungumza katika kikao hicho baada ya kukabidhi risiti hiyo ya fedha Mchechu alisema kuwa  kampuni ya Amboni  Sisal Properties kwa kushirikiana na kampuni ya Amboni Beach Resort wametoa fedha hizo ili kusaidia ujenzi wa hospitali hiyo mpya ya wilaya ya Muheza.

Neemia alisema kuwa anatambua umuhimu wa huduma ya Afya lazima wasaidie kutoa msaada katika ujenzi wa hospitali hiyo ya wilaya ya Muheza ambayo itasaidia kuhudumia wananchi wa wilaya ya Muheza na maeneo ya jirani.

Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya Muheza Mhandisi Mwanasha Rajabu Tumbo ambae alihamasisha ujenzi wa hospitali hiyo mpya ya wilaya katika eneo la kijiji cha Lusanga “A” alisema kuwa anashukuru kampuni ya Amboni kwa kuwezesha kusaidia fedha hizo za ujenzi wa hospitali ambao kwa sasa unaendelea kwa kasi.

Mbunge wa jimbo la Muheza Mhe. Adadi Rajabu alisema kuwa Serikali kuu imetenga fedha  kwa  ajili ya ujenzi wa hospitali hiyo ya wilaya ambayo inajengwa kwa ushirikiano wa nguvu za wananchi na wadau.

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Muheza Bakari Mhando na mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Muheza Luiza Mlelwa kwa nyakati tofauti walimshukuru sana Mchechu kupitia kampuni ya Amboni kwa kukabidhi msaada huo wa fedha za ujenzi wa hospitali mpya  ya wilaya ya Muheza.

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi CCM wilaya ya Muheza Mohamed Moyo na mwenyekiti wa CCM wilaya hiyo Laicky Gugu kwa nyakati tofauti walisema kuwa wataendelea kushirikiana na Mchechu kupitia kampuni ya Amboni katika kuleta maendeleo ya wilaya hiyo na kwamba chama kitamuunga mkono.

Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Muheza walifanya kazi ya kuwasilisha taarifa za kazi mbalimbali zilizofanyika katika robo ya nne 2017/2018 katika kata zao ambapo walitoa changamato mbalimbali zinazowakabili katika kata hizo.


Tangazo

  • TANGAZO KWA WATUMISHI AJIRA MPYA WA IDARA YA AFYA NA ELIMU 2022 July 05, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2022 July 06, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA MAKARANI,WASIMAMIZI MAUDHUI NA WASIMAMIZI WA TEHAMA WALIOCHAGULIWA KWAAJILI YA SENSA YA WATU NA MAKAZI MUHEZA July 27, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UWAKALA WA UKUSANYAJI WA USHURU WA MAZAO May 24, 2022
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • KUELEKEA KILELE CHA NANE NANE KANDA MASHARIKI, KARIBU KATIKA BANDA LA MUHEZA

    August 07, 2022
  • MUHEZA JOGGING YAZINDUA BONANZA LA SENSA

    August 07, 2022
  • MUHEZA YAJIPANGA MAONESHO YA NANE NANE KANDA YA MASHARIKI

    July 25, 2022
  • MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 1,020 WAPATIWA MAFUNZO.

    August 05, 2022
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0655415152

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.