• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

TAASISI YA HAKI ELIMU TANZANIA YA KABIDHI VIFAA MUHEZA.

Posted on: May 13th, 2020

Mkurugenzi Mkuu wa Mradi wa Taasisi ya Haki Elimu Tanzania Godfrey Boniventura amemkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhandisi Mwanasha Rajab Tumbo Vifaa vya kujifunzia na kufundishia kwa watoto wenye mahitaji maalum ambao ni watoto wenye ulemavu Mkali na ulemavu usio mkali kama vile vipofu, viziwi,na walemavu wa viungo ili kuhakikisha wanakabiliana na changamoto zinazojitokeza katika elimu.

Akizungumza na kamati ya watoto wenye mahitaji maalum leo tarehe 13/05/2020 katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Wilaya Muheza wakati wa makabidhiano GODFREY amesema alihaidi kutoa msaada wa vifaa vyenye thamani ya shilingi Milioni sita (6,000,000/=) lakini ameweza  kuongeza hadi kufikia kiasi cha shilingi milioni sita na arobaini na nne elfu (6,044,000/=), lengo nikuwawezesha Watoto hao kufikia malengo yao katika suala zima la kielimu kwa sababu elimu ni haki  ya msingi.

Vifaa vilivyokabidhiwa ni  Cherehani mbili, kiyoyozi (AC), kiti cha magurudumu mawili (wheelchair) viwili Smart TV Screen moja yenye uwezo wa kuunganishwa na internet  ili kuweza kujifunza vipindi mbalimbali na Dishi la kisimbuzi cha Azam.

Aidha, Mkurugenzi huyo ameiomba Halmashauri kwa juhudi walizozianzisha  katika kuhakikisha wanawasaidia wototo hao  wenye mahitaji maalumu ili waendelee kupambana  wasiweze kuishia hapo, kwani bado wanauhitaji mkubwa na amewataka wazazi kuweza kuwalinda Watoto dhidi ya vitendo vya ukatili.

“Niwaombe  Halmashauri kwa juhudi mlizozianzisha  msiishie hapa na tusisubiri Serikali kuu tufanye harambee ili kuweza kuwasaidia, mafanikio ya Muheza ni mafanikio ya Taifa zima.”Alisema Godfrey.

 Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhandisi  Mhe. Mwanasha Rajab Tumbo akimshukuru Mkurugenzi Mkuu wa Mradi amesema kuwa kama malengo yalivyowekwa kwa ajili ya kusaidia watoto wenye  mahitaji maalumu kiwilaya kuna watoto takribani 400. Majengo yameanza kujengwa ambayo ni mabweni mawili ya wanafunzi wakike na wakiume katika Shule ya Mbaramo na Bweni moja la wavulana kwenye Shule ya Masuguru yatakapokamilika kujengwa, litaanza kujengwa Bweni la Wasichana.

Kwa  upande wake Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri ya Wilaya Muheza Pili Sindaguru  ameeleza kuwa kawashirikisha wadau wa kamati ya watoto wenye mahitaji maalumu kuhudhuria katika zoezi hilo na kuungana kwa pamoja ili kupokea  vifaa hivyo vya kujifunzia na kufundishia kwa sababu ni watoto ambao wapo katika mazingira magumu  ya kuweza kupata elimu kwa ujumla, kwa kuweza kupata vifaa hivyo itarahisisha kufikisha ujumbe kwa walengwa.

Mkurugenzi Mkuu wa taasisi ya Haki elimu Tanzania Gogfrey Boniventura (aliyesimama)  akizungumza na wadau wakamati ya watu wenye mahitaji maalumu waakati wa zoezi la kukabidhi vifaa. Afisa elimu Msingi  Wilaya Muheza Pili Sindaguru (wakwanza kulia) akishuhudia makabidhiano ya Baiskeri ya Watoto wenye mahitaji maalumu  baina ya Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Haki Elimu Tanzania na Mkuu wa Wilaya Muheza. Diwani wa kata ya Mbaramo Mhe. Makame Seif Abdallah akimshukuru Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Haki Elimu Tanzania Godfrey Boniventura kwa kuweza kutimiza ahadi ya kuwakabidhi vifaa Watoto wenye mahitaji maalumu. Picha ya pamoja  Mkuu wa Wilaya Muheza Mhandisi Mhe. Mwanasha Rajabu Tumbo(wapi kushoto),Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Haki Elimu Tanzania Godfrey Boniventura (wapili kulia),Afisa Elimu Msingi Wilaya Muheza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Masuguru na Mbaramo.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.