• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

SHIRIKA LA S4F LATOA UFADHILI WA KITI CHA MAGURUDUMU MANNE KWA MTOTO MLEMAVU.

Posted on: October 13th, 2022

Shirika lisilo la kiserikali linalojishughulisha na kuwasaidia watoto na vijana wenye ulemavu pamoja na watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu “Support For Future Foundation” (S4F) lenye Makao yake Makuu Jijini Dar Es Salaam kupitia Mkurugenzi Mtendaji Dr Sylivia Ruambo amekabidhi kiti cha magurudumu manne (wheelchair) tarehe 12/10/2022 nyumbani kwa mtoto mwenye ulemavu Hassan Hatibu Ally mwenye umri wa miaka 16 Mkazi wa Mtaa wa Michungwani, Kata ya Genge, Wilaya ya Muheza.

Akizungumza katika mahojiano Mkurugenzi Mtendaji Dr Sylivia Ruambo amesema kuwa Msafara huu ulifanikiwa kutembelea baadhi ya watoto wenye ulemavu ili kubaini mahitaji yao ikiwemo mahitaji ya kielimu ambapo pia ilikabidhi kiti cha magurudumu manne kwa kijana mwenye ulemavu ambaye umri wa kwenda shule umepita na anamahitaji mengine kwaajili ya kufikia ndoto zake.

Kwa upande wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza, Dr Edward Sempindu Mgaya amewakaribisha na kushukuru Shirika hilo kwa kutambua haki za makundi maalum na ametoa wito kwa mashirika mengine yasiyo ya Kiserikali kujumuika kwa pamoja kwaajili ya kutoa msaada kwa makundi yenye uhitaji.  

Pia mama wa kijana huyo Bi Mwanaidi Mhando Mwidabi ameshukuru Shirika hili kwa msaada mkubwa alioupata na kuanisha changamoto alizokuwa anazipata mfano kulazimika kupata usafiri wa umma au kumbeba mtoto huyo pindi tu anapoumwa ambavyo vyote kwa pamoja vilikuwa ni gharama na maumivu lakini kwa sasa anaweza kutumia kiti hiko  chenye magurudumu manne (wheelchair) kwa ajili ya kutoka sehemu moja kwenda nyingine.

Kwa upande wa Mratibu Mradi wa Kanda ya Kaskazini Bi Zabibu Sindangu ambaye pia ni Afisa Elimu Taaluma Msingi, amewataka wananchi wote hususani wa Wilaya ya Muheza wenye ndugu,jamaa au rafiki wenye ulemavu pamoja na watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu watoe taarifa kwake kupitia simu namba 0763808721 kwaajili ya kupatiwa msaada.


Mkurugenzi Mtendaji wa S4F Dr Sylivia Ruambo(kushoto) akikaribishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Dr Edward Sempindu Mgaya(kulia). Mratibu Mradi Kanda ya Kaskazini Bi Zabibu Sindangu(kushoto),Mtoto Mlemavu,Hassan Hatibu Ally(katikati) na Mkurugenzi Mtendaji wa S4F Dr Sylivia Ruambo(kulia) wakimpandisha mtoto kwenye gurudumu la matairi manne na kuonyesha namna ya kulitumia. Mama wa mtoto mlemavu,Bi Mwanaidi Mhando Mwidabi(kushoto) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa S4F(katikati) na Mratibu Mradi Kanda ya Kaskazini(kulia) wakimtoa nje mtoto mwenye ulemavu,Hassan Hatibu Ally.  Mama wa mtoto mlemavu akifata mafunzo kwa vitendo ya namna ya kutumia kiti cha magurudumu manne.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI, VIBARUA WAKUSANYAJI USHURU June 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI, NAFASI ZA WATENDAJI WA VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 01, 2024
  • TANGAZO LA NYONGEZA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSHWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII KUWAFIKIA WANANCHI VIJIJINI

    February 14, 2025
  • OMBI KUPATIWA HALMASHAURI YA PILI NDANI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUHEZA

    February 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.