• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI AWAMU YA TANO YAPONGEZWA.

Posted on: January 31st, 2020


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Muheza ambae ni Diwani kata ya Ngomeni Mhe, Bakari Zuberi Mhando amepongeza Serikali awamu ya tano inayoongozwa na Mhe Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa jitihada zake za kukamilisha Miradi ya maendeleo kwa wakati.

Akizungumza katika kikao cha Baraza la Madiwani cha kupitisha Mapendekezo ya bajeti ya Mwaka wa fedha 2020/2021 kilichofanyika jana tarehe 30/1/2020 katika ukumbi wa Chama cha Walimu anzania(CWT) Bakari amesema anaishukuru Serikali ya awamu ya tano kwa kuipatia Halmashauri ya Wilaya Muheza kiasi cha TZS Milioni 400, kwa ajili ya kukarabati kituo cha afya Mkuzi ambacho mpaka sasa kimekamilika na baadhi ya huduma zinatolewa kituoni hapo, Pia utengenezaji wa barabara ya Muheza – Amani ambayo mpaka sasa Mkandarasi yuko site.

Akiendelea kupongeza jitihada za JPM, Mwenyekiti wa Halmshauri amesema Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia ,Wazee na Watoto Mhe, ummy Mwalimu ameahidi kutoa msaada wa TZS Milioni 400 kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Afya Misalaii pamoja na gari la wagonjwa (Ambulance) ili kurahisisha usafiri wa wagonjwa mahututi na kupunguza idadi ya vifo wilayani humo.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya Muheza Mhe, Mhandisi Mwanasha Rajab Tumbo amewataka waheshimiwa Madiwani kuhakikisha vigodoro havifanyiki katika kata zao kwani husababisha ongezeko la Utoro Shuleni, Uvunjifu wa Maadili katika jamii na Ongezeko la idadai ya Mimba kwa wanafunzi.

“Nawaomba kutoruhusu vigodoro katika kata zenu ili tuongeze ufaulu wa wanafunzi shuleni kwani wapo wanafunzi waliofeli kidato cha nne kwasababu hawaendi Shule wanaishia kwenye vigodoro” alisema Mwanasha.

Aidha baraza la Madiwani  la Halmashauri ya Wilaya Muheza limepitisha  kwa kishindo Mapendekezo ya Mpango na Bajeti ya Mwaka wa fedha 2020/2021 kiasi cha TZS 27,384,156,250 ikiwa TZS 21,294,720,000 Mishahara, Matumizi mengine 1,096,900,500, miradi ya maendeleo 2,576,315,750,ambapo mapato ya ndani Tzs 2,100, 000,000, ikiwa TZS 200,000,000 ni  CHF, NHIF , Tele kwa tele na 116,220,000 ni Ada ya Sekondari.




MKUU WA WILAYA MUHEZA AKIZUNGUMZA WAKATI WA KIKAO CHA BARAZA KILICHOFANYIKA JANA TAREHE 30/1/2020 MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA MUHEZA BW NASSIB MMBAGGA AKIZUNGUMZA KATIKA BARAZA LA MADIWANI  DIWANI KATA YA MAKOLE MHE, SHABANI ACHIMWENE AKISISITIZA JAMBO KATIKA KIKAO HICHO



KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM), MHE, MOHAMMED MOYO AKIZUNGUMZA WAKATI WA BARAZA HILO. MWENYEKITI WA KAMATI YA ELIMU, AFYA NA MAJI AMBAE NI DIWANI KATA YA MAGILA MHE DAVID KILUA AKIWASILISHA TAARIFA YA KAMATI KATIKA BARAZA HILO. DIWANI KATA YA MISOZWE MHE, JESTINA MTANGI AKIZUNGUMZA WAKATI WA BARAZA LA MADIWANI.






 










 

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.