• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

NAIBU WAZIRI WA AFYA, ATOA AGIZO KWA BOHARI YA DAWA

Posted on: November 25th, 2021

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel ameiyagiza Bohari ya Dawa (MSD) kuhakikisha zoezi la kupeleka vifaa tiba katika Hospital ya Wilaya ya Muheza iliyopewa jina la Rais wa Tanzania Samia Suhulu Hassan linakamilika ili kuwapunguzia Wananchi adha ya kupata huduma za Matibabu.

Mollel ametoa maagizo hayo jana  baada ya kutembelea na Kupatiwa taarifa ya Hosptial hiyo ambayo imeonyesha licha ya kuto kukamilika kwa baadhi ya Majengo ila majengo ambayo tayari yameshakamilika yanakabiliwa na changamoto ya vifaa tiba jambo ambalo Wananchi wanashindwa kupata huduma kufuatia changamoto ya vifaa tiba kutokukamilika kwajili ya kutoa huduma kwa asilimia kubwa.

"Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassani ameshatoa fedha zaidi ya Milioni 400 kwajili ya kununua vifaa tiba kwenye Hospital hiyo ambapo amehaidi kufuatia kwa karibu kutambua kwanini Bohari ya Dawa hadi sasa wameshindwa ulipeleka vifaa tiba hivyo kwakuzingatia Hospital hiyo tayari imepewa jina la Rais wa Tanzania. Alisema Naibu Waziri Mollel.

Pia Naibu Waziri Mollel kwenye ziara yake hiyo alikagua ujenzi wa kituo cha Afya cha Kwafungo kilichopo Tarafa ya bwembela kituo kinacho jengwa kwakutumia fedha za tozo za Miamala ya simu  kiasi cha Milioni 250 

Akiwa katika eneo hilo Naibu Waziri alipokea kilio cha Wananchi juu ya upatikanaji wa Dawa ya Nyoka ambayo inachangia Wananchi wengi kupoteza Maisha kwakukosa huduma hiyo, ambapo alimuagiza Mganga Mkuu wa Wilaya Dkt, Flory Kessy kuhakikisha anapoagiza Dawa ni lazima ahakikishe dawa hiyo inakuwepo ili kuwasaidia Wananchi wa Muheza.

Awali Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya Muheza ambae pia  ni Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bi, Desderia Haule amemuomba Naibu Waziri kusaidia Upatikanaji wa vifaa tiba kwenye hospitali hiyo kwakuzigatia Hospitali hiyo imebeba jina la Rais wa Tanzania Samia Suluh Hassani jambo ambalo limekuwa likiwatia nguvu Wananchi kuwa huduma ambazo zitakuwa zinatolewa kwenye Hospital hiyo zitakuwa ni bora zaidi.

Kwaupande wake Mbunge wa Jimbo la Muheza Hamisi Mwijuma licha ya kuishukuru Serikali kwa kuwapatia fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya Maendeleo amemuomba Naibu Waziri Mollel kuitizama Wilaya ya Muheza kwa macho ya ziada katika kuhakikisha Wahudumu kwenye Sekta ya Afya kama Mipango ya Serikali katika kutoa huduma kwa Wananchi Wake.

"Wilaya ya Muheza licha ya kuwa na vituo viwili ya Serikali vya kutolea huduma ila bado wanakabiriwa na changamoto ya watumishi hivyo Serikali inapowapanga watumishi ni vema ikaitizama Muheza". Alisema Mbunge wa muheza.







Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel akisalimiana na Viongozi wa Wilaya ya Muheza mara baada ya kuwasili katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ikiwa ni ziara yake ya siku moja.
Sehemu ya Watumishi wa Wilaya ya Muheza na Wadau wa Maendeleo wa Muheza wakimsikiliza kwa makini Naibu Waziri wa Afya  Naibu Waziri wa Afya,  Dkt. Godwin Mollel akiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Muheza ambapo alikagua baadha ya majengo pamoja na kuzungumza na Wahudumu wa Hospitali hiyo.
Naibu Waziri wa Afya,  Dkt. Godwin Mollel aliwasili katika Kituo cha Afya cha Ubwari kwaji li ya kukagua eneo linalo ombwa na Halmashauri kwajili ya kufanyaupanuzi wa kituo hicho kutoka kwa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa(NIMR)
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel akipatiwa Maelezo juu ya Tafiti ambazo zinafanyika katika kukabiliana na Wadudu ambao wanaeneza Magonjwa ya binadamu katika chuo cha Afya na Sayansi shirikishi Muheza.
 Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel akikagua Ujenzi wa kituo cha Afya kinacho jengwa Tarafa ya Mbwembera wilayani muheza 













Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.