• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

NAIBU WAZIRI NISHATI ATEMBELEA MIRADI YA REA MUHEZA.

Posted on: March 29th, 2019


Naibu Waziri Nishati  Subira Mgalu atembelea wilaya Muheza  jana tarehe 29/3/2019 katika miradi ya umeme iliyopo katika vijiji vya Mamboleo Lusanga, Misongeni  na Mamboleo Nkumba ili aweze kujiridhisha na hatimaye afungue miradi hiyo.

Akitembelea katika vijiji hivyo aliweweza kuzindua umeme katika Nyumba ya makuti ilopo katka kijiji cha Mamboleo Nkumba , Mamboleo lusanga na Msikiti wa Misongeni ,Aidha ametuma salamu kwa wale wanaoibeza jitihada za Serikali Awamu ya tano za kuwaunganishia wananchi wa vijijiniumeme pasipo kubagua aina ya makaziyao. “ Serikali haitarudi nyuma , itaendelea kuwahudumia wananchi wote bila ubaguzi” alisema Mgalu.

Akiendelea kupongeza Jitihada za Serikali awamu ya amesema imepunguza gharama za uunganishaji wa umeme  kutoka  TZS 177,000/ Hadi kufikia TZS 63,000/ ambapo OMETA TZS 36000, kuunganisha umeme TZS 27000 zilizosalia zinalipwa na Serikali.

Akizitaja sababu za kukatika umeme wilayani humo Subira amesema shughuli za kilimo za kuchoma mashamba zimeunguza njia ya umeme , na kusababisha nguzo 18 kuanguka , matengenezo ya njia kuu ya umeme yanayoendelea huko Ubungo jiji la Dares salaam , miundombinu chakavu aidha amewamtaka Meneja wa Kampuni ya TANESCO Wilaya kutoa taarifa kwa umma kabla ya umeme kukatika .

Kwa upande mwingine alitoa ufafanuzi wa  suala la Bomba  mafuta kutoka Hoima Uganda mpaka Chongoleania  Tanga, Tanzania ambao umeonekana  kukwama amekanusha usemi huu na kusema mazungumzo ya naendelea baina ya mawaziri wan chi nane na kusema kuwa Vijana watanufaika na mradi huo kwani watapata ajira pia wameandaa mafunzo na taasisi ya TPDC kwa ajili ya kupata ujuzi wa kazi hizo.

Naibu Waziri Nishati akitembela miradi ya REA Muheza
Naibu Waziri Nishati akitembelea mradi wa ujenzi wa hospitali Wilaya Muheza





Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.