• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MUHEZA YAJIPANGA KUPAMBANA NA CORONA.

Posted on: April 26th, 2020

    

Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhe.Mhandisi Mwanasha Rajab Tumbo akishirikiana na timu ya Uhamasishaji Ugonjwa wa Corona leo tarehe 25/04/2020 wametembelea katika kata sita za mjini Majengo,Masuguru,Mbaramo,Tanganyika, kwemkabala na Genge ili kutoa Elimu kwa wananchi juu ya Ugonjwa wa huo.

  Katika zoezi hilo wameweza kutembelea katika maeneo  mbalimbali maduka ya rejareja, saluni za kike na kiume, baa za bia bucha za nyama  vituo vya waendesha pikipiki (maarufu kama bodaboda), kituo cha mabasi kilichopo kata ya Genge na nyumba za watu binafsi.

 Walipotembelea katika kituo cha  bodaboda kilichopo katika kitongoji cha uhuru kata ya Masuguru Mkuu wa Wilaya aliwataka waendesha  vyombo ya moto hivyo kuzingatia tahadhari ya ugonjwa wa Corona  ikiwemo kutopakiza abiria zaidi mmoja (mishikaki) na kuhakikisha kila mtumiaji wa Chombo hicho anakuwa na  Barakoa,   vitakasa  mikono na wanapo kuwa kijiweni wakae umballi zaidi ya mita moja kwa mtu mmoja hadi mwingine.

Kwa upande mwingine aliwataka wazazi kuwazuia watoto ambao kwa sasa wako majumbani ili kuwakinga na mlipuko wa ugonjwa huu pamoja na ukatili wanaofanyiwa wakiwa mtaani ikiwemo ubakaji.

Nae Mganga Mkuu Wilaya Flora Kessy amewataka madereva wa Magari ya abiria kuhakikisha abiria waliomo  ndani ya gari hawasimami bali wakae  ‘level sit’ ili kuepuka msongamano.

 Akitoa maelekezo ya unawaji mikono Afisa Afya Wilaya Abubakari Rashidi amesema zoezi hili lifanyike kwa kutumia maji tiririka  na sabuni au kwa kutumia vitakasa mikono (sanitizer)

Pia ameelekeza wananchi namna ya kuvaa  Barakoa (mask) kuwa unapoivaa unatakiwa kukaa nayo ndani ya masaa 4-6 hazipaswi kuvaliwa kutwa nzima na kurudia matumizi hivyo  kila mtu anatakiwa kutembea na Barakoa zaidi ya moja.

Kwa upande wake mjumbe wa Timu ya hamasa ambae ni Mhandisi wa Maji Kapota Kapota amewaasa wanachi kuchukua tahadhri ya ugonjwa wa corona kwa kutowapokea wageni kutoka maeneo ndani na nje bali wawasiliane kwa simu ili kuweza kujikinga na maambukizi.

“Ndugu zangu tuepuke kupokea pokea wageni kutoka sehemu mbali mbali iwapo mtu atataka kuja kwako kipindi hichi mwambie asubiri Corona ipite sasa hivi tuwasiliane kwa njia ya simu tu” alisema Mhandisi wa maji.

MKUU WA WILAYA MUHEZA AKITOA ELIMU KITUO CHA MABASI MKUU WA WILAYA AKIZUNGUMZA NA WAJASIRIAMALI WALIOPO KITUO CHA MABASI MUHEZA AFISA AFYA WILAYA AKIELIMISHA UNAWAJI MIKONO MHANDISI WA MAJI AKIZUNGUMZA NA DEREVA BODABODA.
Mkuu wa wilaya Muheza Mhe, Mwanasha Rajab Tumbo (alieshika kipaza sauti) akitoa elimu kwa wafanyabiashara wa matunda waliopo katika kituo cha mabasi.
Mkuu wa Wilaya Muheza Mhe, Mhandisi Mwanasha Rajab Tumbo akitoa elimu kwa madereva na abiria wanaotumia usafiri wa jumuiya jana katika kituo cha mabasi kilichopo katika kata ya Genge. Afisa afya Wilaya Abubakari Rashidi akitoa elimu ya namna ya kunawa mikono kwa watumishi na wafanyabiashara Mhandisi wa Maji kapota kapota akitoa elimu kwenye kaya na dereva bodaboda.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.