• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MUHEZA YAADHIMISHA WIKI YA USOMAJI VITABU

Posted on: October 4th, 2021


Wilaya ya Muheza ikishirikiana na Shirika la “ROOM TO READ” wameadhisha wiki ya usomaji wa vitabu ili kuwafanya wanafunzi wa darasa la kwanza na daras la pili kuwa na mazoea na mapenzi ya kusoma vitabu kwa lengo la kuwawezesha kujua kusoma, kuandika na kuhesabu.

Hafla hiyo imefanyika siku ya tarehe 1/10/2021 katika Shule ya Msingi Muheza Estate iliyopo katika kitongoji cha Tanganyika Wilaya ya Muheza na kuhudhuriwa na baadhi ya wanafunzi wa shule zote za Msingi 119 zilizopo Wilayani Muheza, walimu, na mwakilishi wa “room to read” na wakuu wa idara na vitengo na wananchi.

Mgeni rasmi ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya huduma za jamii na Diwani kata ya Genge Mhe, Mosses kissiky amaesema ameliomba shirika la room to read lisaidie kutatua changamoto ya nyumba kwa kuwa wao ni wadau muhimu wanaosaida Serikali kutatua changamoto za miundombinu.

Awali akizungumzia lengo la maadhimisho ya wiki ya usomaji vitabu Afisa Elimu Msingi wa Wilaya ya Muheza Bi.Pili Maximillian amesema shirika la room to read limekuwa msaada mkubwa kwa kuwa Halashauri kwa kushirikiana na shirika hilo wameweza kuboresha maktaba  katika Shule 50 za Msingi.

Kwa upande wake Afisa mradi wa Shirika la “ROOM TO READ” Bi. Sabina Matonya amesema shirika hilo linajishulisha na kukuza stadi na tabia ya usomaji kwa wanafunzi wa msingi kujenga maktaba na vifaa vyake pmoja na kukusza stadi ya kusoma kwa walimu na wanafunzi.

Aidha katika maadhimisho hayo wanafunzi wa shule za msingi mbalimbali zilizopo wilayani humo walifanya mashindano ya kusoma vitabu, kukimbiza kuku, kukimbia na gunia, kukimbia na ndimu, kukimbia na chupa, na kuvuta Kamba ambapo washindi walikabidhiwa zawadi mbalimbali na mgeni rasmi.

Tangazo

  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA KUKUSANYA TAARIFA NA KUWEKA ANWANI ZA MAKAZI March 08, 2022
  • ORODHA YA WALIOFAULU USAILI WA ANWANI ZA MAKAZI ULIOFANYIKA TAREHE 17/3/2022- MUHEZA March 18, 2022
  • TANGAZO LA SEMINA YA UKUSANYAJI WA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI March 22, 2022
  • Matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2017 January 31, 2018
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • MUHEZA YAFIKIA ASILIMIA 97 ZOEZI LA ANWANI ZA MAKAZI

    May 19, 2022
  • MUHEZA YAFIKIA ASILIMIA 97 ZOEZI LA ANWANI ZA MAKAZI

    May 19, 2022
  • MUHEZA YAFIKIA ASILIMIA 97 ZOEZI LA ANWANI ZA MAKAZI

    May 19, 2022
  • MUHEZA YAZINDUA CHANJO YA UGONJWA WA POLIO

    May 19, 2022
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0655415152

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.