• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MUHEZA YAADHIMISHA SIKU YA LISHE

Posted on: October 31st, 2023


Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga jana Oktoba 30,2023 imeadhimisha siku ya lishe Pamoja na uzinduzi wa programu ya lishe ya Vijana balehe ili kuwapatia elimu vijana balehe wenye umri wa kuanzia miaka 10 hadi 19 kutambua lishe bora itakayowawezesha kuongeza kiwango cha ufaulu darasani.

Maadhimisho hayo yamefanyika katika Uwanja wa Jitegemee yakiongozwa na kauli mbiu isemayo “Lishe bora kwa Vijana balehe, chachu ya Mafanikio yao.

Akizungumza wakati wa maadhimisho hayo Afisa lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Bi. Emmanuela Lawrence amesema Vijana wenye umri wa kubalehe yaani miaka 10 hadi 19 wanatakiwa kula vyakula  vinavyozingatia  makundi 5 ya vyakula ambayo ni vyakula vya asili ya nafaka, ndizi,za kupika na vya asili ya mizizi kama viazi, mihogo, vyakula vya jamii ya kunde, asili ya Wanyama, na mbegu za mafuta, mbogamboga , matunda, na sukari, asali na mafuta.

Akizitaja faida za lishe bora kwa Vijana balehe inayozingatia makundi hayo 5 ya vyakula afisa lishe huyo amesema huongeza utendaji wa akili na Uwezo wao kitaaluma kujifunza na ubunifu.

Aliendelea kuwa lishe bora kwa vijana balehe huwezesha ukuaji wa mwili unaostahili ambapo husaidia kuwa na urefu na uzito mzuri kwa maendeleo ya ujuaji wa kijana

Amesema huimarisha kinga ya mwili hivyo hupunguza uwezekano wa kupata magonjwa na matatizo mengine ya kiafya sasa na baadae.

Aliongeza kuwa lishe bora kwa Vijana balehe hupunguza uwezekano wa kupata magonjwa yasiyoambukiza sasa na wakati wa utu uzima kama vile magonjwa ya Moyo, Kisukari, Shinikizo la damu, na Saratani.

Alihitimisha kuwa  lishe bora kwa Vijana balehe huimarisha mwonekano wa mwili kama vile Ngozi nzuri, kujengeka vizuri kwa Misuli kwa Wavulana na umbo zuri kwa wasichana.

Katika hatua nyingine alizungumzia baadhi ya athari anazoweza kuzipata kijana balehe iwapo atashindwa kupata lishe bora ikiwa ni Pamoja na, kinga ya mwili kuwa dhaifu,  mwonekano wa mwili usioridhisha kama vile kukosa misuli kwa wavulana na umbo zuri kwa wasichana, ukuaji wa mwili usioridhisha unaoweza kupelekea udumavu na uzito pungufu.

Aidha maadhimisho hayo yamekwenda sambamba na utoaji elimu ya lishe kwa vijana balehe ikiwa ni Pamoja na wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari, Upimaji wa hali ya Lishe kwa Vijana balehe na Maonesho ya vyakula bora kwa Vijana balehe.






































 

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.