• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MSIMU WA UVUNAJI WA MAZAO YA VIUNGO WAZINDULIWA

Posted on: January 10th, 2024


Viongozi wa Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga mnao Disemba 30, 2023 wamezindua Msimu wa uvunaji wa mazao ya  Viungo, iliki, karafuu, mdalasini na Pilipilimanga ili kuwasaidia wakulima kuvuna mazao yaliyokomaa yenye ubora utakaopelekea kuuza kwa bei zuri.

Akizungumza katika hafla hiyo Katibu Tawala Wilaya ya Muheza Mohamedi Mfaki kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Juma Saidi Irando ambaye alikuwa mgeni katika zoezi hilo amesema kilimo cha mazao hayo kina tija sana kwa wakulima kama watazingatia vizuri taratibu na kanuni bora za kilimo hicho kwani kinaweza kuwatoa katika umaskini wa ipato hivyo kitawasidi kuongeza kipato cha kaya kitakachowawezesha kusomesha watoto.

Amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameboresha miundombino ya Kilimo ikiwemo utoaji wa mbolea, dawa za kuua wadudu waharibifu wa mazao, amegawa pikipiki kwa maafisa ugani na  vishikwambi ili kuhakikisha mkulima wa kawaida ana hudumiwa kwa karibu na anapata faida ya nguvu alizozitumia.

Amewataka madalali kuacha kuwanyonya wakulima wa mazao hayo kwani mara nyingi wamekuwa wakiwalalia katika bei za mzao hayo.

“Sisi kama Serikali hatutaki kuona mkulia ananyanyaswa katika masuala ya kilimo, tutapima ubora wa mazao haya na kupanga bei ili kuwasaidia wakulma waweze kuboresha maisha yao, mwaka huu wa 2023 ni Mwaka wa mwisho kwa wakulima kulaliwa” alisema Mfaki.

Ametoa wito kwa wakulima wajiunge kwenye vyama vya Ushirika ambavyovitawasidia wasiyumbishwe na wafanyabiashara hivyo vitawasidia kuwa na msimao wa bei.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Dkt. Jumaa Mhina amesema inasemekana Biashara ya Mazao ya Viungo kufikia Dollar Bilioni Arobaini na Tanzania ni Nchi ya Tatu kwa Uzalishaji kwani kwa sasa kilo moja  ya karafuu inauzwa kuanzia shilingi 17,000/= hadi 18,000/= hivyo walime  mazao hayo kwa wingi kwa kuzingatia ubora ili yaweze kuboresha maisha yao.

“Naguswa sana na mazao ya viungo na nimekuwa nikifuatiia kwa karibu juu ya mazao haya kwa kuwa yanagusa uchumi wa Muheza kwani asilimia kubwa ya mapato ya halmashauri yanategemea mazao hayo” alisema Dkt. Mhina.

Nae Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza amewataka wataalam wa Kilimo waandae takwimu sahihi ya uzalishaji wa mazao ya viungo ili kuweza kujua idadi halisi  ya uzalishaji wa kilimo cha Mazao hayo

Aidha hafla hiyo ya  uzinduzi wa mazao ya  Viungo imefanyika katika Kijiji cha Kweisaka kata ya Tongwe na kuhudhuriwa na wakulima, Wafanyabiashara,viongozi wa vyama vya ushirika, na taasisi zinazowezesha wakulima wa mazao ya viungo.

Mazao ya viungo Wilayani Muheza yanalimwa katika kata za Tongwe, Nkumba, Magila, Magoroto, Amani, Kisiwani, Mbomole, Misalai, Kwezitu na Zirai.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.