• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MILIONI 136 ZAKOPESHWA KWA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU -MUHEZA

Posted on: July 3rd, 2021


Halmashauri ya Wilaya ya Muheza imetoa fedha za mikopo kiasi cha shilingi milioni 136 katika kipindi cha mwezi April- june 2021 kwa vikundi 23 vya wanawake, Vijana na wenye ulemavu vyenye jumla ya watu 179 ikiwa ni kutekeleza takwa la kisheria kwa nia ya kuwakwamua kiuchumi.

Hafla ya kukabidhi hundi hiyo imefanyika Julai 2, 2021 iliyoongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhe, Halima Abdallah Bulembo katika ukumbi wa mikutano wa walimu (CWT) uliopo katika kitongoji cha Genge, kata ya Genge Wilaya ya Muheza.

Awali akisoma taarifa ya ya utaoaji wa mikopo Afisa Maendeleo ya jamii Wilaya ya Muheza Bi. Vije Mfaume Ndwanga amesema kati ya Makundi hayo, vikundi vya wanawake 10 ambavyo vimekopeshwa Shilingi 51,500,000= Vijana vikundi 9 vikikopeshwa Shilingi 62,500,000, Sanjari na vikundi vya Wenye ulemavu 4 vikinufaika na Shilingi 22,000,000.

Kiasi hicho cha Mkopo kitarejeshwa bila riba na kinakopeshwa kwa Makundi hayo maalum ambapo wakopaji wanapewa miezi mitatu ya huruma (matazamio) kabla ya kuanza marejesho.

 Kwa kipindi cha Mwaka huu wa fedha 2020/2021 halmashauri ya Muheza imekopesha Shilingi Milioni 337 kwa jumla ya vikundi 55 vyenye jumla ya wanufaika 473, wakiwemo wanawake 254, vijana 186 na wenye ulemavu 33.

Miongoni mwa makundi hayo, vikundi vya wanawake 27 vimekopeshwa Shilingi Milioni 152, vijana vikundi 21vikikopeshwa Shilingi milioni 152 na Wenye Ulemavu vikundi 7 wakinufaika na Shilingi Milioni 33.

Mikopo hii imetolewa kwa vikundi vinavyojishughulisha na miradi ya usafirishaji abiria na mizigo (bodaboda)  ufugaji wa kuku, kilimo cha mbogamboga, karakana za kuchomelea, migahawa, maduka, kuosha magari(car wash), ununuzi na uuzaji wa viungo na nafaka,

Aidha kwa Mwaka huu wa fedha,,Halmashauri imetenga Shilingi Milioni 210 ambayo ni asilimia kumi (10%)  ya makisio ya mapato yake ya ndani ya Shilingi Bilioni mbili na milioni mia moja (2,100,000,000) kwa ajili ya kutoa Mikopo kwa vikundi 42 vya uzalishajimali ambapo hadi kufikia Juni 30,2021 makusanyo ni Shilingi 1,973,946,633.40,hivyo basi  kiasi cha shilingi Milioni  186 kilitolewa  kwa vikundi 30 na kufikia lengo la asilimia 94, Vile vile kiasi cha shilingi Milioni 151 cha marejesho ya wanavikundi kimetolewa kwa vikundi 25.

















Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.