• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MBUNGE WA MUHEZA AAHIDI KUBORESHA MAZINGIRA YA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

Posted on: September 28th, 2024

Mbunge wa Jimbo la Muheza na Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamisi Mwinjuma almaarufu (MwanaFA ) amesema ameahidi kutatua kero za watoto wenye Uhitaji maalum ikiwemo kuboresha miundombinu rafiki katika Shule zao.

Kauli hiyo ameitoa jana Jumamosi Septemba 28 alipokuwa Mgeni rasmi katika hafla ya Chakula cha Pamoja na watoto wenye Mahitaji Maalum iliyofanyika katika Ukumbi wa "Comfort" uliopo katika kata ya Mbaramo Wilayani humo.

Amesema kuwa Serikali itaendelea kuboresha Miundombinu rafiki ya watoto wenye mahitaji Maalum ili waweze kufikia ndoto zao kama ilivyo kwa watoto wengine kwani Watoto wote wana haki ya kupata elimu stahiki .

Ameendelea kuwa Serikali inaendelea na jitihada za kuboresha mazingira wanayoishi watoto hawa kwa kuwajengea Uzio ili kuhakikisha wanasoma katika mazingira salama.

Pia ameahidi kuwapatia Vifaa vya Michezo watoto wenye Mahitaji Maalum siku ya Jumatatu tarehe 30/9/2024 wakati wa tukio la Uzinduzi wa Kampeni ya " Mtoto wa leo, Samia wa Kesho " utakaoongozwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri Mkuu Mhe. Dotto Biteko (MB).

"Nawapongeza walimu, wazazi na walezi kwa kuwahudumia watoto wenye mahitaji maalum, mimi kama mwakilishi wenu nitaendelea kuikumbusha serikali kuhakikisha inaendelea kujenga Majengo yenye mazingira ya watoto wenye mahitaji maalum" alisema Mbunge huyo wa Jimbo la Muheza.

Aliendelea kufafanua kuwa Serikali itaendelea kugharamia elimu Kwa kuwalipia ada watoto kuanzia chekekea kama inavyofanya.

Hata hivyo Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa mwezi amekuwa akilipa kiasi cha shilingi Bilioni 1.3 kugharamia elimu mkoa wa Tanga.

Hivyo, tunaposema elimu bure si kweli bali Mheshimiwa Rais analeta pesa ambapo Ili kumuondolea ada anayotakiwa kulipa mzazi.

Aidha amekabidhi vifaa vya Shule kama vile Madaftari, kalamu, Rula kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum ili kupunguza changamoto za kielimu zinazowakumba watoto hao.


Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.