• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MAKONDA ATAJA SABABU ZA UPUNGUFU WA UMEME

Posted on: January 22nd, 2024

 Uzembe wa Watendaji na uzalishaji mdogo wa Umeme katika Vituo vya kuzalishia Umeme ni miongoni mwa sababu zilizotajwa kusababisha kukatia katika kwa Umeme Nchini na   hii imetokana na baadhi ya Mikataba iliyoingiwa kipindi hicho cha nyuma kutokuwa na tija ya Muda mrefu.

Kauli hiyo imetolewa na Katibu NEC, Itikadi , Uenezi na Mafunzo CCM Taifa Mhe Paul Christian Makonda Wilayani Muheza alipokuwa katika Ziara yake ya kusikiliza na  kutatua Kero za Wananchi ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

Amesema wananchi waendelee kumvumilia na kumshika Mkono Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu ambae anaendelea kuambana katika masuala mbalimbali ya Maendeleo liiwemo  hili la Nishati ya Umeme ambapo mpaka sasa hatua mbalimbali zimeshaanza kuchukuliwa ili kuboresha huduma hii ikiwemo kuwawajibisha watendaji wazembe na Uboreshaji wa  miundombinu ya Nishati hiyo.

“Ndugu zangu wananchi naomba mtusamehe na muendelee kumuamini Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani mpaka sasa anaendelea kupambana ambapo jitihada mbalimbai za kuboresha njia za kusafirisha umeme zinafanyika, njia za kupooza Umeme zinzfanyiwa kazi ili Umeme uweze kusambazwa kwa Wananchi” alisema Makonda.

Aliendelea kuwa  Serikali imeanzisha Mradi wa kuongeza Uzalishaji wa Umeme kufikia Megawati 2500 ambao ndio Mkombozi wa Taifa ambapo mpaka sasa kiasi cha Shilingi Trilioni Sita (6) zimekwishalipwa ambapo mradi huu unatarajiwa kuwa na Vinu 8 hivyo ukamilishaji wa mradi huu utaifanya Tanzania kuwa ya Kwanza kuwa na Miundombinu bora ya  Umeme na itapelekea gharama za” unit” za Umeme kupungua bei.

MAKONDA AWASILI MUHEZA




Katibu NEC, itikadi, uenezi na Mafunzo CCM Mhe. Paul Christian Makonda leo jumapili tarehe 21/1/2024 amefanya ziara ya Siku moja Wilayani Muheza kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi.












Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.