• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MABADILIKO YA TABIA YA NCHI YAWA CHANGAMOTO KWENYE KILIMO

Posted on: September 10th, 2021

Mabadiliko ya tabia ya nchi ni mabadiliko ya hali ya hewa yanayosababishwa na shughuli za binadamu kama vile uchomaji wa misitu, ukataji miti ovyo, ambayo yanaweza kuleta athari katika kilimo hivyo basi kupelekea uzalishaji mdogo wa mazao.

Mkutano wa wadau mbalimbali uliongozwa na mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Muheza Mh. Erasto Mhina lengo ikiwa ni kuanzisha jukwaa la kilimo himilivu dhidi ya mabadiliko mbalimbali ya tabia ya nchi uliofanyika leo tarehe 9/9/2021 katika ukumbi wa Tate Plus Muheza Tanga,

Akizungumza na wadau katika mkutano huo Mhina alisema kutokana na kilimo cha mazoea uwanzishaji wa jukwaa hili utasaidia kutatua changamoto mbalimbali zinazokabili sekta ya kilimo katika wilaya yetu, ili kupata kilimo chenye tija.

Alisema kuwa mkakati wa taifa wa mabadiliko ya tabia ya nchi Tanzania umeainisha sekta ya kilimo ndio iliyoathirika zaidi hivyo uwaanzishwaji wa jukwaa hilo wilayani Muheza utasaidia kwa kiasi kikubwa namna ya kukabiliana na changamoto hizo.

Kwa upande wake Mratibu wa jukwaa la wadau wa kilimo kinachohimili mabadiliko ya tabia ya nchi, Bi.Shakwaanande Natai aliweza kutoa ufafanuzi zaidi kuhusu jukwaa la kilimo himilivu ambalo litaweza kuinua kilimo chenye manufaa na endelevu kitakacho weza kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi, aliweza kufafanua changamoto mbalimbali zitakazoweza kuwa kikwazo katika jukwaa na njia ambazo wanaweza kuzitumia ilikukabilia na changamoto hizo hivyo aliwataka wadau kuwa na ushirikano.

Awali akifafanua kuhusu hali ya mabadiliko ya tabia ya nchi wilayani Muheza Kaimu afisa kilimo wilaya ya Muheza Sylvester Mziray amesema wilaya ya Muheza Mkoani Tanga inakabiliwa na athari mbaya zamabadiliko ya tabia ya nchi ambayo hali inazorotesha juhudi za Halmashauri hiyo katika sekta ya kilimo.

Aidha wadau waliweza kuchagua viongozi watano katika ngazi ya mwenyekiti, mwenyekiti msaidizi, katibu, na  msaidizi wake pamoja na nafasi ya mtunza fedha ambao ndio watakao ongoza jukwaa hilo.

 

 

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI, VIBARUA WAKUSANYAJI USHURU June 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI, NAFASI ZA WATENDAJI WA VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 01, 2024
  • TANGAZO LA NYONGEZA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSHWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII KUWAFIKIA WANANCHI VIJIJINI

    February 14, 2025
  • OMBI KUPATIWA HALMASHAURI YA PILI NDANI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUHEZA

    February 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.