• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MAAFISA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NGAZI YA KATA WATAKIWA KUZINGATIA MAFUNZO

Posted on: February 6th, 2025

MAAFISA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NGAZI YA KATA WATAKIWA KUZINGATIA MAFUNZO


Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Muheza Dkt. Jumaa Mhina amewataka Maafisa Wandikishaji Wasaidizi ngazi ya Kata wafanye kazi kwa Weledi ili waweze kusimamia zoezi la Uboreshaji wa Daftari la kudumu la

Wapiga kura linalotarajiwa kuanza Februari 13, 2025 hadi Februari 19, 2025 ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu wa 2025.


Kauli hiyo ameitoa Alhamisi Februari 06, 2025 wakati akifungua Semina ya Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Kata.


Semina hiyo imehusisha Mwenyekiti wa Semina, Wakufunzi kutoka Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Afisa Uchaguzi, Afisa Ugavi, Maafisa TEHAMA wa Halmashauri na Maafisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya kata.


Amesema Elimu hiyo wanayoipata itawawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo kwani wanafundishwa namna bora ya Ujazaji wa Fomu, kutumia mfumo wa kuandikisha Wapiga Kura ( Voters Registration System - VRS) ikiwa ni pamoja na Matumizi sahihi ya vifaa vya uandikishaji Wapiga Kura.


" Ni matumaini yangu kubwa baadhi yenu mmewahi kushiriki katika utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya Tume ikiwemo Uboreshaji wa Daftari. Kwa kutumia Uzoefu huo na mafunzo mtakayopatiwa natarajia mtafanyakazi kwa weledi, bidii na Moyo wa kujituma ili kufanikisha zoezi hili la Kitaifa., Pia

Nawasihi kutumia uzoefu wenu kusaidia wenzenu ambao hawakuwahi kushiriki katika Uboreshaji ili waweze kutekeleza majukumu yao kikamilifu" alisema Dkt. Mhina.


Katika hotuba yake amewasisitiza Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya kata kuwaruhusu Mawakala wa vyama vya Siasa kuwepo kwenye vituo vya Uandikishaji ili wasaidie kuwatambua wa eneo husika bali wasiingilie utekelezaji wa Majukumu ya Waandikishaji.


Ametoa wito kwa Maafisa hao kuhakikisha wanajifunza vyema Vifaa vitakavyotumika wakati wa Uandikishaji.


Aidha amewataka kuwa na Ushirikiano kati ya Watendaji wote wa Uboreshaji, Serikali, Vyama vya Siasa na Wadau wengine wote wa Uchaguzi ili kufanikisha vyema zoezi la Uchaguzi Mkuu 2025.


Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.