• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MAAFISA UGANI WATAKIWA KUZINGATIA MAFUNZO

Posted on: July 14th, 2021


Maafisa kilimo wa kata na vijiji vinavyolima mazao ya viungo wametakiwa kuzingatia mafunzo juu ya namna ya kutokomeza ugonjwa wa mnyauko wa mazao ya viungo yaliyotolewa na kampuni ya inayojishughulisha na utengenezaji na usambazaji na usambazaji wa dawa za mimea (real IPM) iliyopo Arusha ili kuweza kutokomeza tatizo hilo.

Akizungumza katika mafunzo hayo yaliyofanyika jana tarehe 13/7/2021 katika Ukumbi wa TATE PLUS Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Muheza ambaye alikuwa Mgeni rasmi katika semina hiyo Mhe, Erasto Jerome Mhina amesema ugonjwa wa mnyauko umemfanya mkulima asione umuhimu wa zao hilo hivyo basi wasikilize kwa makini ili wakawaelimishe wakulima waondokane na changamoto hiyo.

“Niwaombe sana sana maafisa ugani mzingatie kwa makini mafunzo ili badae tupate matokeo chanya yatakayosaidia kuongeza uchumi wa wananchi wa Muheza, utaboreshwa huduma za wananchi na kuongeza kipato na thamani ya zao hili” alisema Mhe Erasto.

Akitoa historia ya tatizo la Mnyauko wa mazao ya viungo, Afisa kilimo Wilaya Muheza Hoyange Malika Mbwambo amesema tatizo hilo lilianza mnamo mwaka 2019 katika kata 12 za Potwe, Bwembwera, Magila, Magoroto, Nkumba, Tongwe, Kisiwani, Amani Misalai, Mbomole, zirai na Kwezitu zinazolima mazao hayo ya iriki, Pilipilimanga na karafuu ambapo tatizo hili limeamethiri uzalishaji  kwa asilimia 30.

Aliongeza kuwa mazao haya yanashika nafasi ya pili kati ya mazao ya biashara yanayolimwa Wilayani humo na yanaipatiwa Halmashauri takribani kiasi cha Shilingi Milioni 200 kila Mwaka hivyo basi uwepo wa ugonjwa huu umeathiri makusanyo ya mapato ya Wilaya hiyo.

“ninaamini kabisa iwapo mafunzo haya yatazingatiwa na maafisa ugani wetu yatasaidia kuzuia mnyauko na tukifanikiwa kufanya vizuri tutainua uchumi wa wakulima na Halmashauri kwa ujumla” alisema Bw. Mbwambo.

Nae Mwakilishi wa kampuni ya real IPM Gigeon William Ringo amesema wametoa dawa ya telekondema na movelia itakayosaidia kupambana na mnyauko hivyo basi maafisa ugani wazingatie Maelekezo ya dawa hizo ili wakulima waweze kuuza mazao yao nje ya Nchi.

Kwa upande wake afisa kilimo kata ya Mbomole Steven Didas amesema kuwa wamezingatia mafunzo hayo na kuahidi kutoa elimu elekezi kwa wakulima ili kuweza kutokomeza changamoto ya mnyauko wa mazao hayo.



Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI, VIBARUA WAKUSANYAJI USHURU June 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI, NAFASI ZA WATENDAJI WA VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 01, 2024
  • TANGAZO LA NYONGEZA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSHWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII KUWAFIKIA WANANCHI VIJIJINI

    February 14, 2025
  • OMBI KUPATIWA HALMASHAURI YA PILI NDANI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUHEZA

    February 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.