• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YASAIDIA UJENZI WA MABWENI

Posted on: March 8th, 2019


Siku ya wanawake duniani huadhimishwa kila mwaka mnamo tarehe 8 machi, kwa upande wa Halmashauri ya Wilaya Muheza sherehe hizi zimefanyika leo tarehe 8/3/2019 katika kijiji cha Mbaramo kata ya Mbaramo chini ya kauli mbiu ya mwaka huu  isemayo “Badili fikira kufikia usawa wa kijinsia kwa maendeleo endelevu” ambapo wananchi walishiriki katika ujenzi wa mabweni  ya wanafunzi wenye mahitaji maalum kwa kumwaga zege la msingi katika bweni la wavulana.

Ili kutekeleza kauli mbiu ya mwaka huu isemayo “badili fikra kufikia usawa wa kijinsia kwa maendeleo endelevu kaimu mkuu wa Wilaya Muheza ndugu Habibu Sempindu ameitaka jamii kubadili fikra zilizojenge zilizokuwa zikimgandamiza mwanamke kwa kuwataka washiriki kwenye midahalo, maadhimisho , na mikutano na waandishi wa habari ili wapate elimu itakayowasaidia kuzitambua hakizao kisheria, kuwaimarisha wanawake kiuchumi ili kuondokana naumaskini kwa kuwapatia mikopo.

Nae kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Muheza Bw. Godhelp RINGO ameewaasa wanawake kusimama imara na kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kujiongezea kipato kwa ajili ya maendeleo ya familia zao.

WANANCHI WA MUHEZA WAKISAIDIANA KUMWAGA ZEGE


Kaimu mkurugenzi muheza Godhelp Ringo kushoto akimkabidhi kalai la zege Afisa Vijana Wilaya Ndugu John kwingwa leo katika maadhimisho ya siku wanawake duniani yaliyofanyika katika shule ya msingi Mbaramo.
Kaimu Mkuu wa Wilaya Muheza Habibu Sempindu (afisa tarafa muheza) akisoma taarifa ya maadhimisho ya wanawake duniani leo tarehe 8/3/2019 katika Shule ya Msingi Mbaramo

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA UCHAGUZI October 06, 2025
  • MAREKEBISHO YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO October 23, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA September 24, 2025
  • Halmashauri, Bodi ya Korosho Muheza Kugawa miche ya Korosho Bure March 07, 2018
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • MUHEZA YATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI MKUU

    November 21, 2025
  • MAFUNZO YA UANDAAJI NA UTEKELEZAJI WA MIPANGO NA BAJETI

    November 21, 2025
  • LISHE ALAMA ZA KIJANI MUHEZA

    November 12, 2025
  • UZINDUZI WA BODI MPYA YA AFYA YA WILAYA

    November 12, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.