• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

MAADHIMISHO YA SIKU YA USOMAJI (KKK) WILAYA YA MUHEZA

Posted on: October 13th, 2022

Maadhimisho ya siku ya Kusoma, Kundika, Kuhesabu (KKK) katika Wilaya ya Muheza yamefanyika katika shule ya msingi Muheza Estate na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa Elimu ikiwemo walimu wa shule, maafisa Elimu kata, Naibu Afisa Elimu wa Wilaya Ndug; Beatus Mtumbuka pamoja na mgeni rasmi Ndug; Hobokela Wilson Afisa uhusiano wa Bank ya NMB Muheza,  kushirikisha baadhi ya wanafunzi wa shule mbalimbali za msingi zilizopo Wilayani na kuwa na mashindano mbalimbali kwa wanafunzi hao ikiwa ni pamoja na mashindano ya Kusoma, Kuandika na Kuhesabu, mashindano ya Kukimbia, ngoma, ngonjera pamoja na mashairi.

Mashindano ya Kusoma, Kuandika na Kuhesabu yameshirikisha wanafunzi 15 kutoka katika shule 15 ambazo ni Kibanda, Mlingano, Nkumba Kisiwani, Mashewa, Muheza Estate, Kicheba, Mbaramo, Majengo, Jimbandeni, Mgambo, Makole, Mkulimilo, Matombo, Misalai pamoja na Mikwinini. Huku mshindi katika mashindano hayo ya Kusoma akiwa alikuwa ni Monika Amani mwanafunzi wa darasa la pili kutoka katika shule ya Msingi Muheza Estate, nafasi ya pili ikishikiliwa na Glory Philipo mwanafunzi kutoka katika shule ya msingi Nkumba Kisiwani, huku nafasi ya tatu ikienda kwa Ibrahimu Selemani mwanafunzi kutoka katika shule ya msingi Mlingano.

Aidha kaimu Afisa Elimu wa Wilaya Ndug; Beatus Mtumbuka amesema kuwa Halmshauri ya Wilaya ya Muheza imeandaa shule mbili za msingi ambazo zitawakilisha Wilaya ya Muheza na mkoa kwa ujumla katika mashindano mbalimbali ambazo ni Shule ya Msingi Ubembe na Shule ya Msingi Kwemsala huku akiwasisitizia walimu wakuu wa shule hizo wawaandae wanafunzi wao.

Nae Afisa Mahusiano wa Bank ya NMB Muheza amewapongeza walimu wote kwa kufanya kazi zao vizuri za kufundisha pamoja nawanafunzi wote walioshiriki katika maadhimisho hayo, huku akihimiza wanafunzi kujifunza kwa bidii shuleni pamoja na nyumbani.


Monika Amani Mshindi wa kwanza kwenye mashindano ya kusoma mwanafunzi kutoka katika shule ya Msingi Muheza Estate alitumia sekunde 36 kusoma maneno 50 akipokea zawadi ya shilingi 20,000 Glory Philipo Mshindi wa pili kwenye mashindano ya kusoma mwanafunzi kutoka katika shule ya msingi Nkumba Kisiwani alitumia sekunde 40 kusoma meneno 50, akipokea zawadi ya shilingi 15,000 Ibrahimu Selemani mshindi wa tatu kwenye mashindano ya kusoma, mwanafunzi kutoka katika shule ya Msingi Mlingano, Alitumia sekunde 40 kusoma maneno 49, akipokea zawadiya shilingi 10,000 Hoboeka Wilson, Afisa Uhusiano wa Bank ya NMB Muheza akizungumza kwenye maadhimisho ya KKK Beatus Mtumbuka, Naibu Afisa Elimu wa Halmsahuri ya Wilaya ya Muheza akizungumza kwenye maadhimisho ya KKK

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.