• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

KAMPUNI YA COTEX YAKABIDHI MATENKI YA MAJI MUHEZA

Posted on: April 29th, 2020

       

Mwakilishi wa Kampuni ya Cotex  iliopo Dar es salaam Frances Mfikwa jana tarehe 28/4/2020 amekabidhi matenki 2 ya maji kwa Mkuu wa Wilaya Muheza Mhe, Mwanasha Rajab Tumbo ili kuondokana tatizo la Upungufu wa Maji kwenye maeneo yenye Mikusanyiko.

Akizungumza katika makabidhiano hayo Frances amesema lengo la kutoa msaada wa matenki  hayo yenye ujazo wa lita 225 ni kuunga mkono jitihada za  Serikali katika kupambana na Ugonjwa wa Corona (COVID-19) ambapo vifaa hivyo vitatumika kuhifadhia maji ya kunawa mikono katika maeneo hayo.

Nae Mkuu wa Wilaya Muheza Mhe, Mhandisi Mwanasha Rajab Tumbo ameishukuru Kampuni ya COTEX kwa ushirikiano na Upendo waliouonesha katika kutambua jitihada za Serikali na kusaidia katika kutatua changamoto za Ugonjwa huu Wilayani humo.

Akiyataja maeneo yatakayopelekewa matenki hayo, Mhe, Mwanasha amesema tenki moja litapelekwa katika kituo kikubwa cha mabasi kilichopo katika kata ya GENGE na lingine litawekwa katika eneo la Soko kuu la Muheza Mjini lililopa katika kata ya Tanganyika ili kuepukana na changamoto ya Maji katika maeneo hayo.

“Tunashukuru kwa kutuletea matenki haya na sisi kama Serikali tunaendelea kuelimisha jamii kuchukua tahadhari za kuweza kutokomeza  Corona.” alisema Mhe, Tumbo.




Katibu Tawala Wilaya Muheza Desderia Haule ( aliyebeba mkoba) akishuhudia makabidhiano ya Tenki kati ya Mwakilishi wa Kampuni ya COTEX Frances Mfikwa (kushoto) na Mkuu wa Wilaya Muheza Mwanasha Tumbo mwenye Hijabu. Mwakilishi wa Kampuni ya COTEX Frances Mfikwa (kulia) akizungumza wakati wa makabidhiano ya Tenki yaliyofanyika eneo la Ukumbi wa mikutano wa Halmashauri  jana tarehe 28/04/2020. Mwakilishi wa kampuni ya COTEX Frances Mfikwa (aliyevaa shati jeupe) akishusha Tenki kwa ajili ya makabidhiano

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI, VIBARUA WAKUSANYAJI USHURU June 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI, NAFASI ZA WATENDAJI WA VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 01, 2024
  • TANGAZO LA NYONGEZA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSHWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII KUWAFIKIA WANANCHI VIJIJINI

    February 14, 2025
  • OMBI KUPATIWA HALMASHAURI YA PILI NDANI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUHEZA

    February 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.