• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA ARDHI MALIASILI NA UTALII YAFANYA ZIARA MUHEZA

Posted on: March 19th, 2019


Kamati ya kudumu ya bunge ya Ardhi, Maliasili na utalii ikiongozwa na Waziri wa Ardhi , nyumba na maendeleo ya makazi mhe, William Lukuvi ilitemelea na kukagua mradi wa ujenzi wa nyumba 10 za gharama nafuu uliopo katika eneo la charter kijiji cha Kibanda kata ya Kilulu jana tarehe 18\3\2018 ili kujiridhisha na ujenzi wa mradi huo.

Akizungumza katika ziara hiyo lukuvi amesema anailipongeza shirika la nyumba la taifa (NHC ) kwa kazi nzuri ya ujenzi wa nyumba 10 za gharama nafuu ambao mpaka sasa uko katika hatua ya umaliziaji ikiwa kiasi cha TZS milioni 135 kimetumika , Aidha ameiagiza Halmashauri kumalizia kulipa kiasi cha fedha kilichobaki ili majengo yaweze kukamilika uweze ipasvyo.

Kwa upande mwingine, Wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya Ardhi , maliasili na utalii wamesema wameridhia ujenzi huo kwani umefuata mkataba uliofanyika kati ya Hamashauri na Shirika la nyumba pia umefuata kanuni na taratibu za majengo ya Serikali.

Akisoma taarifa ya ujenzi wa nyumba hizo Mkurug.enzi wa Shirika la nyumba Bw Maulidi Banyani amesema mradi uliopo ni wa nyumba 20 za gharama nafuu ambapo nyumba 10 zinatekelezwa na Halmashauri ya wilaya na nyumba 10 za Shirika la nyumba ambazo mpaka sasa nyumba 10 za watumishi ziko katika hatua ya umaliziaji ikiwa 5 zina vyumba 3, sebule, choo na stoo ikiwa 5 zilizo salia zina vyumba 2 sebule , choo na stoo. Kwa upande wa nyumba za watumishi ziko katika hatua ya umaliziaji na zile za shirika zipo katika hatua ya Msingi .

Amesema mpaka sasa wamepokea kiasi cha Shilingi milioni 135 ikiwa kama sehemu ya mkataba pia wameweka marumaru ambayo haikuwa sehemu ya mkataba , ambapo kiasi cha fedha mpaka kukamilisha jengo ni TZS 390,306,600= hivyo basi wanadai kiasi cha TZS 255306600 Aidha ameitaka Halmashauri kukamilisha kiasi hicho ili wakamilishe kazi hiyo.

kamati ya bunge ikikagua nyumba za gharama nafuu za watumishi

Lukuvi akitoa maelekezo mbalimbali ya kiserikali


Kamati ya bunge la kudumu ya Ardhi , maliasili na utalii ikikagua nyumba za gharama nafuu za watumishi zilizojengwa katika eneo la chatur kijiji cha kibanda kata ya kilulu jana tarehe 18\3\2019.


Waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Mhe, William Lukuvi akitoa maagizo ya serikali jana katika mradi wa ujenzi wa nyumba nafuu unaotekelezwa katika eneo la chatur kijiji cha Kibanda kata ya Kilulu.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.