• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI

Posted on: October 27th, 2022


Kamati ya fedha uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga imefanya ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kipindi cha robo ya Kwanza 2022/2023.

 Miongoni mwa miradi iliyokaguliwa na kamati hiyo ya Madiwani na Wataalam ni Ujenzi wa Shule ya Sekondari Mpya ya  Chatur ya kidato cha kwanza hadi cha sita iliopo katika Kijiji cha Kibanda kata ya Kilulu, Nyumba kumi (10) za Watumishi ambazo zimejengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) zilizopo kijiji cha Kibanda kata ya Kilulu, Ujenzi wa Zahanati ya Kwakopwe na Kituo cha Afya Kwafungo ambacho kinajengwa kwa fedha za tozo za Miamala ya simu kiasi cha Shilingi Milioni 500 (500,000,000) ambapo mpaka sasa huduma za wagonjwa wa Nje zinatolewa katika Kituo hicho na wateja Zaidi 400 wamepata matibabu kituoni hapo.

Awali Mwenyekiti wa Kamati hiyo Erasto Mhina amepongeza juhudi ambazo zimefanywa na viongozi na wataalam katika kusimamia Miradi hiyo ambayo imelenga kuwasaidia Wananchi katika kupata huduma mbalimbali kama dhamira ya Mhe, Rais Samia Suluhu Hassan.

Nae Mwenyekiti wa huduma za Jamii wa Halmashauri hiyo amabaye ni mjumbe kwenye kamati ya fedha Mosses Siwa amewaomba Wataalam na kamati ambazo zinahusika kusimamia ujenzi wa Mradi wa Shule ya Sekondari Chatur na Kituo cha Afya cha Kwafungo kueleza ukweli kamati hiyo changamoto ambazo zinasababisha Miradi hiyo kutokukamilika kwa wakati ili wananchi waweze kupata huduma.

Aidha Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Muheza Simoni Leng’ese licha ya kupongeza juhudi ambazo zimefanywa katika kusimamia Miradi hiyo amewaomba wataalam na Madiwani kuendelea kushirikiana katika kutekeleza Ilani ya Mwaka 2020/2025 ambayo imeahidi kusogeza huduma karibu kwa wananchi chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe. Samia Suluhu Hassan.

Kwa Upande wa Diwani wa Kwafungo na Mtendaji wa kata hiyo wametoa ushauri wao kwa kamati hiyo kwamba ili kuleta ufanisi kwenye miradi lazima Halmashauri iwe na wataalam wa kusimamia wakitolea mfano sehemu ya kuhifadhia vifaa (storekeeper) kwani kwa sasa shughuli hizo zimekuwa zikifanywa na watendaji au watumishi kada tofauti ambao hawana uelewa juu ya masuala ya manunuzi na Ujenzi.

Mwenyekiti wa Halmashauri akizungumza
wajumbe wa kamati ya fedha

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Mhe. Erasto Mhina akizungumza na baadhi ya   wajumbe wa kamati ya fedha, Uongozi na
 Mipango mara baada ya kukagua mradi wa Shule ya Sekondari Chatur.

Wajumbe wa kamati ya fedha wakijadiliana jambo mara baada ya kukagua miradi












Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.