• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WAMERIDHISHWA NA MIRADI MBALIMBALI

Posted on: January 31st, 2025


Mapema jana Tarehe 30 2025, Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya Fedha pamoja na wajumbe wa kamati hiyo walifanya ziara ya ukaguzi wa Miradi mbalimbali inayotekelezwa Wilayani hapo walitembelea jumla ya Miradi 5 katika Kata 4,ikiwemo miradi mitatu ya elimu,mmoja wa Afya pamoja na ujenzi wa Jengo la Utawala.Kamati ilikagua Shule mpya Shikizi Kijiji cha Misufini Kata ya Magoroto ambayo inajengwa kwa ufadhili wa Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Muheza na Naibu Waziri wa Habari,Sanaa,Tamaduni na Michezo Mheshimiwa Hamisi Mwinjuma pamoja na Benki ya CRDB Muheza.

Pia Kamati ya Fedha katika ziara hiyo wamepongeza Ujenzi wa Shule ya Sekondari Mhamba iliyopo Kijiji cha Bwitini Kata ya Mhamba inayojengwa kutoka Serikali Kuu kupitia mradi wa SEQUIP kwa kiasi cha Sh584,280,029 ambayo ipo hatua ya umaliziaji na Shule ya Sekondari kwa Bastola iliyopo Kijiji cha kwa Bastola Kata ya Makole kwa kuleta matumaini makubwa na kusema kuwa Miradi hii itatoa adha ya uhaba wa Shule katika Wilaya ya Muheza.

Aidha katika sekta ya Afya kiasi cha Shilingi milioni470 imetengwa kwa ajili ya kuendeleza Ujenzi na ununuzi wa vifaa katika Hospitali ya Wilaya ya Samia Suluhu iliyopo kata ya Lusanga ambapo Tsh.300milioni kwa ajili ya ununuzi wa Vifaa tiba kwa ajili ya Mazoezi[Physiotherapy]na Sh170Milioni kwa ajili ya Umaliziaji wa Ujenzi wa Jengo la Kuhifadhia Maiti,Wodi 4, mbili za Upasuaji na Mbili za Magonjwa ya ndani za wanawake na wanaume pamoja na kukamilisha Mfumo wa Maji taka Jengo la Utawala.

Aidha Wajumbe wa Kamati wa Fedha na Mipango walipata wasaa wa kutembelea Ujenzi wa Jengo la Utawala lililopo Kijiji cha Tanganyika Kata ya Lusanga ambapo kiasi cha Shilingi Bilioni3.3 zimetengwa kwa ajili ya Ujenzi wa Jengo hilo ambapo Wajumbe wa Kamati wamesisitiza kuwa Wafanyakazi waongezwe ili kuharakisha Ujenzi huo.

Mwenyekiti wa Halmashauri wa Wilaya ya Muheza Mh Erasto Mhina ametoa pongezi na shukurani kwa Serikali ya awamu ya sitakwa juhudi kubwa ya kuboresha sekta ya Elimu na Afya na amewataka wakandarasi wa majengo hayo kuongeza kasi ya ujenzi wa majengo hayo ili kuleta manufaa kwa jamii

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.