• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

JAMII YATAKIWA KUTUMIA MAWASILIANO VIZURI.

Posted on: February 26th, 2020


Naibu Waziri Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe, Atashasta Justus Nditiye (mb) ameitaka jamii kutumia vizuri mawasiliano  kwa kuwa ni chombo pekee kinachoweza kuleta tija katika maendeleo.

Amesema mawasiliano  yakitumiwa vizuri husaidia kuleta mahusiano mazuri katika biashara hatimaye kuongeza kipato cha kaya na hatimaye mafanikio kupatikan katika jamii husika.

Ameyasema hayo wakati akizindua Mnara wa Simu wa TTCL uliopo katika kijiji cha Misalai kata ya Misalai Wilayani Muheza ambapo mnara huu utasaidia kurahisisha mawasiliano kwa wakazi wa kata ya Misalai na vijiji vya Jirani,

Vile vile ametoa miezi 3 kwa  Kampuni ya TTCL kuboresha huduma ya mtandao walioweka badala ya 2G waweke Mtandao wa 3G utakaowawezesha wakazi hao kufurahia huduma za mitandao ya kijamii ili kuweza kuwasiliana na Ndugu zao waliopo nje ya Nchi.

Pia amewasihi watumiaji wa mitandao ya kijamii kutopotosha  jamii katika masuala mbalimbali wala kupiga picha mbaya ikithibitika hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

“Ni marufuku kupotosha jamii kwa namna yoyote ile , wala kupiga picha za uchi na kuziweka kwenye mitandao tukikugundua tutakuchulia hatua za kisheria alisema Mhe Nditiye”

Akizungumzia suala la utengenezaji wa barabara ya Amani –Muheza naibu Waziri amesema Mkandarasi amepatikana na ameshaaanza kutekeleza mradi huu ambapo kilomita 7 zitajengwa hali itakayopelekea wakulima na wafanyabiashara kupeleka  mazao yao sokoni.

“Nawaombeni muwe wavumilivu suala la ujenzi wa barabara haljasimama tunasubiri hali ya hewa ikae vizuri ndio tuendelee kukamilisha ujenzi huu, ifahamike  kuwa utengenezaji wa barabara ni kazi ya muda mrefu tumeanza na kilomita 7 kisha tutamalizia maeneo mengine , tunasubiri Mvua zipungue ndio tuendelee na utengenezaji” alisema Naibu Waziri.

Nae Mbunge wa Jimbo la Muheza Mhe Adadi Rajabu amepongeza jitihada za TTCL kujenga Mnara katika kata ya Misalai ameendelea kusisitiza kampuni kupanua wigo wa Mawasilaino katika kata zote 6 za tarafa ya Amani kuhakikisha zinakuwa na mawasiliano ya uhakika .

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya Muheza Mhe, Mwanasha Rajabu Tumbo amewataka wakulima wa mazao ya viungo kwenda kuuza mazao yao katika kiwanda cha kukausha mazao ya viungo kilichopo katika kata ya Lusanga iliokuwa (ofisi ya kata Lusanga).

Akitoa pongezi kwa Serikali awamu ya 5 inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli  Diwani kata ya Misalai Mhe, David Bughe amesema anaishukuru Serikali hii kwa kuhakikisha inawapatia huduma ya mawasiliano hali itakayopelekea kuchagiza uchumi wa wama Misalai na tarafa ya Amani kwa ujumla kwani hapo awali mawasiliano yalikuwa yanapatikana kuanzia asubuhi hadi saa 12 jioni baada ya hapo maasiliano yanakata.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.