• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

HATI ZA VIWANJA 124 ZATOLEWA MUHEZA

Posted on: March 5th, 2022


Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhe, Halima Abdallah Bulembo kwa kushirikiana na kampuni ya Makazi Solutions wamekabidhi Hati za Viwanja 124 kwa wananchi ambao wamekamilisha taratibu zote za malipo ya urasimishaji.

Hati hizo zimetolewa kwa wananchi wa maeneo ya Kilapula, Machemba, Mkanyageni, Ngomeni, Azimio, Kwemkabala,Masimbani, Masuguru, Mbaramo, Teule, na Michungwani ambao wamekamilisha malipo ya urasimishaji.

Akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika siku ya alhamisi tarehe 3/3/2022 katika Uwanja wa Kilapula  Mhe Bulembo amewataka wananchi kuendelea kulipia gharama za urasilishaji kwa kuwa zina faida kubwa katika jimii ikiwemo kutatua migogoro ya ardhi katika eneo husika

Aliendelea kuwa faida nyingine ya hati ni hutumika kama dhamana kwamba iwapo mtu unahitaji kukopa katika taasisi za kifedha au mahakani au kituo cha polisi husaidia kupatiwa huduma ya dhamana.

Aliongeza kuwa Hati husaidia kumtambulisha mmiliki wa kiwanja kisheria hivyo basi anakuwa na haki zote katika kiwanja hicho kwa mujibu wa sheria na hii itamsaidia kurejeshewa fidia pale ambapo serikali itahitaji kuchukua ardhi .

Pia alitoa onyo kali kwa wananchi wenye tabia ya  kupotosha jamii juu ya masuala mbalimbali ya ardhi  waache mara moja kwa kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Awali akisoma taarifa ya utekelezaji wa kazi za utambuzi, upangaji, upimaji na urasimishaji makazi Afisa Mipango Miji Happiness Namponji amesema mpaka sasa jumla ya hati 829zipo katika hatua mbalimbali, 68 ziko ofisi ya Kamishna Mkoa kwa ajili taratibu za kusajiliwa ikiwa 336 zimekamilika kuandaliwa na wananchi wameitwa kwenda kuweka saini na ili ziruudishwe kwa kamishna na 425 ziko katika hatua za mwisho .

Akizitaja changamoto za zoezi la urasimishaji Happy amesema mwitikiomdogo wa wananch katika kulipia gharama za kuandaliwa hati imeisababishia Serikali kukosa mapato ambayo husaidia kuwaletea wanachi maendeleo.








 

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.