• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YA WILAYA YA MUHEZA YAKABIDHI CHEREHANI KWA WAJASIRIAMALI

Posted on: October 31st, 2022


Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga imekabidhi Cherehani tatu (3) kwa kikundi cha Vijana cha WADEE kazi cha Kijiji cha Kisiwani kata ya Kisiwani kinachojishughulisha na Ushonaji ikiwa ni sehemu ya kuendeleza kujikwamua kiuchumi.

Akizungumza baada ya kukabidhi Cherehani hizo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Mhe. Erasto Jerome Mhina amabae alikuwa Mgeni rasmi kwenye tukio hilo ameipongeza Serikali awamu ya sita (6) inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi za kuwawezesha kiuchumi Vijana .

Amesema kupitia vifaa hivyo vitakwenda kubadilisha maisha ya Vijana wa Kisiwani kwa kuweza kutambua fursa mbalimbali ambazo zinaweza kuwapatia fedha ikiwa ni mapenzi makubwa ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa Watanzania wakiwemo wa Muheza Kisiwani

Awali Kaimu afisa Maendeleo ya jamii ya Wilaya ya Muheza Hassan Mwinyimkuu akipokuwa akisoma taarifa amesema vifaa hivyo vimetolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Ofisi ya Rais Tamisemi kwa ajilia ya kugawa kwenye vikundi vinavyojishughulisha na ushonaji, Uchomeleaji na shughuli za Aluminium vilivyopo kwenye Halmashauri kama sehemu ya mchango wa kuviwezesha vikundi hivyo kujiajiri.

Kwa upande wake Diwani wa kata ya Kisiwani Shabani Chewaja na Mwekahazina wa kikundi cha WADEE kwanza licha ya kuishukuru Serikali na Watendaji wamesema vifaa hivyo vitakwenda kubadilisha hali ya kiuchumi kwa Vijana wa kikundi cha Wadee kwanza kutumia vifaa hivyo kwa umahili ili waweze kuwa mfano kwa Vijana wengine kwenye jamii na lengo la Rais wa Tanzania litimie la kuhakikisha Vijana wanawezeshwa kiuchumi.

MWENYEKITI WA HALMASHAURI AKIKABIDHI CHEREHANI KWA WAJASIRIAMALI

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Mhe. Erasto Jerome Mhina (kushoto) akikabidhi Cherehani kwa kikundi cha Vijana WADEE kilichopo katika kata ya Kisiwani kinachojishughulisha na Ushonaji wa nguo.


Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.