• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

DC MUHEZA AZINDUA KAMPENI YA KUKABILIANA NA CORONA .

Posted on: April 27th, 2020


Mkuu wa Wilaya Muheza Mhandisi Mwanasha Rajab Tumbo leo jumatatu tarehe 27/4/2020 amezindua kampeni ya kupambana na ugonjwa wa Corona Covid-19 iliofanyika nje ya ukumbi wa mikutano ya Halmashauri .

Akizungumza katika Uzinduzi huo Mhe Mwanasha amewataka wawezeshaji wakawaelimishe wananchi kupewa zawadi ya barakoa na mtu wasio mfahamu labda mtu huyo awe ni ndugu wa karibu ili kuepuka kutumia barakoa zilizowekewa dawa za kumdhuru binadamu.

Pia aliwataka waelimishaji kwenda kuwatoa hofu wananchi kwa kuwaeleza kuwa Serikali imejipanga kuhudumia wagonjwa watakaokuwa wamebainika kuwa na maambukizi kwani sio kila anaeumwa na kufa anakufa na Corona, kuna walougua corona na mpaka sasa wamepona.

Aliongeza kuwa elimu ikatolewe kwa wananchi kuhusu kuepukana na mikusanyiko kutoshikana mikono kikiwa ni tahadhari ya ugonjwa wa Corona , wanapokuwa kwenye vijiwe vya kahawa wahakikishe wanakaa umbali zaidi ya mita moja.

Vile vile aliwataka watoa Elimu wakaelimishe wananchi juu ya utumiaji wa lishe bora kwani hutengeneza kinga ya mwili ili kupambana na magonjwa .

Aidha amewataka wazazi kuwazua watoto wasizagae hovyo mitaani ikiwa ni kuwakinga na corona na ukatili wanaofanyiwa pindi wawapo mitaani.

“ Serikali imeamua kufunga Shule zote za Msingi, Sekondari na vyuo ili watoto wabaki nyumbani sio tu kuwakinga na ugonjwa wa Corona bali pia kuwakinga na vitendo viovu vya ubakaji na ulawiti, iwapo tutamkuta mtoto anadhurura mitaani hatua kali zitachukuliwa dhidi yako mzazi ulieshindwa kumsimamia” alisema Mhe, Mkuu wa Wilaya.

Nae Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi( CCM) Mhe LAICKY GUGU  aliwataka wananchi wote waliopo kwenye maeneo ya mikusanyiko kuvaa barakoa muda wote atakaeshindwa kutekeleza hili hatua kali za kisheria zichukuliwe dhidi yake.

Pia alisisitiza kuwa mtu yeyote atakaehisi dalili za ugonjwa huu afike kituo cha Afya kilichopo karibu nae kwa ajili ya kufanyiwa vipimo ili kubaini tatizo linalomsumbua.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Timu ya uhamasishaji dhidi ya Corona ambae ni Afisa Maendeleo ya jamii ya  Rose Kimaro amesema Zoezi la utoaji Elimu  Wilayani litachukua muda wa siku 19  kuanzia tarehe 27/4/2020 hadi tarehe 15/5/2020 ambapo zoezi hili litafanyika kwa kila kata nyumba kwa nyumba. 

Aidha kampeni ya utoaji wa Elimu ya Corona inaongozwa na kauli mbiu isemayo "TATIZO CORONA, TAHADHARI IANZE NA WEWE". ikiwa na maana kuwa jukumu la kuchukua tahadhari ya Ugonjwa huu sio la mtu mmoja ni la kila mtu aliopo kwenye jamii husika.

MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) WILAYA MUHEZA MHE,  LAICKY GUGU AKIZUNGUMZA WAKATI WA UZINDUZI. 
MKUU WA WILAYA MHE,  MWANASHA TUMBO AKIKABIDHI VITENDEA KAZI (BARAKOA)  KWA WANAHAMASA
MKUU WA WILAYA AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA WANAHAMASA. 










Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.