• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

DC BULEMBO AZINDUA WIKI YA UNYONYESHAJI

Posted on: August 6th, 2021


Mkuu wa Wilaya Muheza Mhe Halima Abdallah Bulembo amezindua wiki ya unyonyeshaji leo tarehe 6/8/2021 katika kituo cha afya Mkuzi kilichopo katika kijiji cha Mkuzi Kata ya Mkuzi  ili kuongeza uelewa na kulinda afya ya mama na mtoto katika jamii.

Akizungumza katika Maadhimisho hayo Mkuu huyo wa Wilaya amesema Maziwa ya Mama yana virutubisho vyote hivyo basi watoto wanyonyeshwe miezi sita mfululizo ili kuwakinga na maradhi yanayoweza kujitokeza katika umri huo mdogo.

Aliongeza kuwa Maziwa ya mama yana umuhimu sana katika kwa mtoto kwa kuwa akinyonyeshwa vizuri kwa wakati muafaka afya yake itaimarika na kumfanya mtoto awe na uelewa wa haraka na utambuzi wa masuala mbalimbali katika maisha yake.

“Tunapokuwa na watoto wadogo tusiendekeze majukumu ya kazi zetu binafsi tukamsahau mtoto, watoto wadogo ndio  jukumu letu la kwanza kwani wakikosa maziwa ya mama  afya zao zitashindwa kurekebishwa katika maisha yao yote” alisema Mhe Bulembo.

Awali akisoma Risala ya siku ya Uzinduzi wa maadhimishni ya wiki ya unyonyeshaji  Afisa Lishe wilaya ya Muheza Emmanuela Lawrence amezitaja faida za unyonyeshaji wa maziwa ya mama ni humpatia mtoto  virutubishi vyote anavyohitaji kwa uwiano sahihi wa ukuaji na maendeleo yake, hupatia kinga ya maradhi mbalimbali kama kuharisha na magonjwa ya mfumo wa hewa, husaidia tumbo la mama la uzazikurudi katika hali yake ya kawaida, huzuia upungufu wa damu, huzuia  upatikaji wa mimba, huzuia saratani ya mfuko wa uzazi nay a matiti, hujenga uhusiano mzuri wa karibu kati ya mamana mtoto,

Aliendelea kuwa Maziwa ya mama ni safi na salama, hupatikana muda wote, katika joto sahihi na hayahitaji matayarisho, hayaharibiki yakiwa ndani ya matiti , hukaa saa 8 bila kuharibika katika joto la kawaida na saa 72 kwenye jokofu, huokoa muda wa mama na fedha za familia , hayaleti matatizo ya mzio, hutunza mazingira kwani hayaachi mabaki kama makopo au chupa.

Kwa upande wake mama mwenye mtoto wa miezi 5 mkazi wa kijiji cha mkuzi ambaye ni shuhuda wa kunyonyesha mtoto miezi 6 mfululizo amesema kumpatia mtoto chakula cha ziada mapema kutamletea madhara ya kupata tumbo kubwa litakalomfanya aonekane kuwa kama mwenye kwashakoo.

Afisa lishe Wilaya ya Muheza Emmanuela Lawrence(kushoto) akisoma risala kwa Mkuu wa Wilaya Muheza ambaye pia ni mgeni rasmi wa hafla Afisa lishe Wilaya muheza Emmanuela Lawrence (kushoto) akikabidhi risala kwa Mkuu Mgeni rasmi Mhe Halima Abdallah BULEMBO sehemu ya watumishi na wananchi walioshiriki Sehemu ya wakina mama wanaonyonyesha

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.