• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

DC BULEMBO AWATAKA WANANCHI WAISHIO MILIMA YA AMANI KUTOVAMIA MISITU

Posted on: June 21st, 2022


Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhe. Halima Bulembo amewataka wananchi wanaoishi katika Milima ya Amani kuacha tabia ya kuvamia misitu na kuendeleza shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo vya maji jambo ambalo linapelekea kuathiri vyanzo hivyo na badala yake amewataka kushirikiana kuvitunza kwa manufaa ya vizazi vijavyo.

Ameyasema hayo alipokuwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya siku ya Mazingira ambapo Kiwilaya yamemefanyika katika Kijiji cha Sakale kata ya Mbomole Tarafa ya Amani.

“Huku kwetu Sakale tarafa ya Amani kuna watu wanakuja kutembelea maeneo yetu hii ni kutokana na Mandhari mazuri iyaliyopo katika maeneo haya hivyo basi tuendelee kuyatunza, tupande miti, tutunze vyanzo vya maji, tuache kuchoma misitu, kuvamia misitu, kutupa taka hovyo na kulima katika vyanzo vya Maji ili miundombinu yetu ya maji isiharibike Mimi kama Mwakilishi wa  rais wa Jamhuri ya Muungao wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan sitokubali kuwavumilia watu wachache wakoseshe watu wengine maji kwasababu tu hawataki kutunza mazingira na vyanzo vya Maji” alisema Mhe Bulembo.

Nae Meneja wa Mamlaka ya Maji Tanga Uwasa Wilaya ya Muheza Ramadhani Nyambuka amesema wamekuwa wakishirikiana na kikundi cha umoja wa wakulima uhifadhi wa Mazingira (UWAMAKIZI) kuhakikisha wanatoa elimu ya  utunzaji Vyanzo vya Maji.

Aliendelea kuwa katika Maadhimisho hayo wao kama wadau wa utunzaji na uhifadhi wa mazingira wanatoa miti 1500 aina ya kuvu kuvu ambayo ni rafiki wa maji ili kulinda kingo za maji zisibomoke na kuleta tope  ili kukinga chanjo chetu kikubwa cha Mabayani kisiharibike.

Awali akisoma risala katika Maadhimisho hayo Afisa Mazingira wa Wilaya SYPRIAN MSELEM amesema ndani ya Wilaya ya Muheza kuna  fursa ya vivutio vya utalii vinavyotokana na utunzaji mazingira ambapo vinapatikana viumbe adimu ulimwenguni kama vile vinyonga, ua la St. Paulia, ufugaji vipepeo, maanguko ya mto zigi chemka, utalii Magila na fukwe za kigombe hivyo basi anatoa wito wa wananchi kufika katika tarafa ya Amani kujionea utalii wa kimazingira.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa kikundi cha umoja wa wawakulima na uhifadhi wa mazingira (UWAMAKIZI) Twaha Mbaruku ametoa shukurani kwa Serikali na Tanga uwasa kwa namna wanavyoshirikiana kutoa elimu kwa wananchi juu ya namna bora ya utunzaji wa mazingira na vyanzo vya Maji.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.