• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

CORONA YA SABABISHA MIRADI YA MAJI KUSIMAMA MUHEZA

Posted on: April 4th, 2020

Waziri wa Maji Professa Makame Mbarawa  amewataka Wananchi kuwa wavumililvu katika kipindi hiki cha Ugonjwa wa Corona(COVID-19) kwani Mkandarasi ambaye ni mkazi wa Afrika kusini  kwasasa hawezi kusafiri  kutokana na kufungwa kwa usafiri  wa anga ikiwa ni katika kuchukua tahadhari ya  ugojwa wa Corona.

 Aliyasema hayo alipokuwa akifanya Ziara yake Wilayani Muheza tarehe 4/4/2020 wakati akitembelea Miradi ya  Maji Kilapula (PONGWE-MUHEZA) uliopo Kata ya Mlingano na  Mradi wa maji Umba  uliopo kata ya Ngomeni.

Aidha prof. Mbarawa amefafanua kuwa, endapo ugonjwa  huu utaendelea kuchukua muda mrefu Serikali itachukua hatua ya kutatua tatizo hili  ili Wananchi waweze kupata  Maji kwa wakati  kwa sababu Maji ni muhimu  kwa matumizi ya binadamu kiafya.

Lakin pia, alipokuwa katika Mradi wa Maji PONGWE-MUHEZA Prof. Mbarawa amemtaka Mkurugenzi wa Kampuni ya KORERG  Steven  Lucas  kuukamilisha kwa kufunga Pampu na kusambaza maji kwa haraka ili Wananchi waweze kuondokana na adha ya Maji  kwa kipindi hiki  cha mlipuko wa  Corona  (COVID-19).

Mbali na hilo, Prof. Mbarawa ameahidi kutoa  kiasi cha shilingi Milioni 150 kwa ajili ya kuanza upya ujenzi wa Mradi wa maji Kilongo, kuchimba Mitaro na ununuzi wa Mabomba.

 Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Halmashauri  wa Wilaya ya Muheza  ambaye ni Diwani wa kata ya Ngomeni Bakari  Mhando ametoa ombi kwa Waziri wa maji kama tazizo kubwa nikufungwa kwa pampu suala hili lifanyiwe kazi  maana ndoo ya moja  ni shilingi elfu moja na ukizingatia kwa sasa kuna ugonjwa wa Corona hiyo ni changamoto.

“Natoa maelekezo Wizara ya Maji changamoto kubwa ni kwa upande wa Manunuzi Pesa inatolewa kwa muda husika wao wanachelewesha kuifanyia kazi na kama wataendelea kufanya hivyo  tutawachukulia hatua Watendaji hao”.amesema Mbarawa.

Mhandisi wa Maji Halmashauri  Wilaya ya Muheza Cleophace Maharangata akizungumza walipotembelea Mradi wa Maji Umba tarehe 04/04/2020. Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhe. Mwanasha Rajab Tumbo akitoa shukrani kwa Waziri wa Maji kwa kutembelea Mradi wa Maji Umba. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza ambaye ni Diwani Kata ya Ngomeni Mhe. Mhando (wapili kutoka kulia) akizungumza walipotembela katika Mradi wa maji Umba.

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.