• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

CHANJO YA CORONA YATOLEWA MUHEZA

Posted on: August 5th, 2021


Chanjo ya ugonjwa wa corona (uviko -19) imetolewa jana tarehe 4/8/2021 katika kituo cha afya ubwari kilichopo katika kitongoji cha Mbaramo kata ya MBARAMO Wilayani Muheza ili kujikinga na huo hatari unaoenezwa kwa njia ya kugusa majimaji yatokayo puani na mdomoni.

Uzinduzi wa chanjo hii ulifanywa na Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhe, Halima Abdallah Bulembo ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo;

Uzinduzi huo ulishirikisha kamati ya ulinzi na usalama wilaya Muheza, watumishi wa Halmashauri na wananchi wote wa Wilaya hiyo.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhe, Halima Abdallah Bulembo amewataka watumishi na wananchi wajitokeze kwa wingi kupata chanjo hiyo ili waweze kujikinga na ugonjwa huo na kuwahakikishia  kuwa  chanjo hiyo ni salama

DC AKIPATIWA CHANJO YA UVIKO-19 KATIBU TAWALA AKIPATA CHANJO AFISA UTUMISHI MUHEZA AKIPATA CHANJO MGANGA MKUU MUHEZA AKIPATA CHANJO SEHEMU YA WATUMISHI NA WANANCHI WALIOSHIRIKI
Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mhe. Halima Abdallah Bulembo akipata chanjo ya corona leo jana tarehe 4/8/2021 katika kituo cha afya ubwari kilichopo katika kata ya Mbaramo. Katibu Tawala Wilaya Muheza Bi Desderia Haule akipata chanjo ya Uviko wa 19 jana tarehe 4/8/2021 katika kituo cha afya Ubwari ili kujikinga na Maambukizi ya corona Afisa Utumishi Wilaya ya Muheza Bw. Godhelp Ringo akipata CHANJO ya corona katika kituo cha Afya ubwari jana tarehe 4/8/2021 ili kujikinga na ugonjwa wa uviko - 19 Mganga Mkuu Wilaya ya Muheza Dkt Flora Kessy akipata chanjo ya corona katika kituo cha afya ubwari ili kujikinga dhidi ya virusi vya Corona  Sehemu ya Watimishi na wataalam walioshiriki katika zoezi la utoaji chanjo jana tarehe 4/8/2021 katika kituo cha afya ubwari.





Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.