• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA WAFANYAKAZI LAPITISHA BAJETI YA SHILINGI BIL. 47

Posted on: January 20th, 2024


Baraza la Wafanyakazi la Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga limepitisha Mapendekezo ya Makisio ya Bajeti ya Mapato na Matumizi ya Jumla ya Bilioni 47 kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025.

Awali akiwasilisha Umbile la Mapendekezo ya Makisio ya Bajeti ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 ya Kiasi cha Bilioni 47,262,554,292. Afisa Mipango Wilaya ya Muheza Daniel Mwakitalu amesema Fedha hizo kwa ajili ya Mishahara ni Bilioni 32,479,952,000, Miradi ya Maendeleo Bilioni 10,310,987,149 na Matumizi mengineyo  Bilioni 1,290,905,000 ambapo Bajeti imezingatia Mpango wa Maendeleo endelevu wa Mwaka 2030, sambamba na Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020.

Aidha Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Cyprian Mselemu alipokuwa akifunga Baraza hilo ametoa Wito kwa Wtumishi kutunza Siri za Serikali na Sio kutumia Mitandao mbalimbali ya kijamii katika kusambaza taarifa za siri za Serikali badala yake watumie Mitandao hiyo uleta katika kuleta Maendeleom ya Wilaya ya Muheza.

Amesema baadhi ya watumishi wa Serikali wamekuwa wakitumia mitandao ya kijamii vibaya kwa kutoa siri za za Serikali hivyo amewaomba kutumia mitandao hiyo kwa ajili ya kuisaidia Serikali na kujiletea Maendeleo.

“Ni waombe watumishi wenzangu tuwe makini na matumizi ya Mitandao ya kijamii, tusiiitumie kutoa siri za Serikali badala yake tutumie mitandao hiyo ya kijamii kuisemeaa vizuri Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri inyofanywa ya kuiletea maendeleo Wilaya ya Muheza” alisema Mselemu.

Kwa upande wake Katibu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Mkoa wa Tanga Lazaro Saulo amepongeza Halmashauri ya Muheza kwa Juhudi za Idara ya Utumishi kwa hatua za kuhakikisha wanangalia M,aslahi ya Watumishi kwa Ukaribu sana ikiwemo Upandishaji wa Madaraja na Malipo mbalimbali ambayo walikuwa wakilalamikia.

“Amesema Watumishi wa kada zote wamekuwa na Maumivu ya muda mrefu juu ya maswala ya Madeni, kupanda Madaraja hivyo kama Serikali kupitia Ofisi ya Katibu Mkuu Utumishi na Afisa Utumishi mmefanikiwa kuanza kumaliza kilio hicho kuongeza hali ya watumishi kufanya kazi kwa bidii pia ameshauri idara ya Utumishi kuzingatia upandishji wa madaraja kwa watumishi wote ili kuepuka Msemo wa tumekusahau wakati tunapitisha wafanyakazi ambao wanapaswa kupandishwa.


Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.