• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

Kupata Leseni ya Biashara

UTARATIBU WA KUPATA LESENI ZA BIASHARA

Leseni zinazotelewa na Halmashauri za Wilaya, Manispaa, Miji na Majiji ni za Kundi B. Leseni za Kundi A hutolewa na Wizara ya Viwanda na Biashara

Mfano wa Biashara zilizo kwenye Kundi B:

Wakala wa Bima (Insurance Agent)

Vipuri (Spare parts, Mashine tools)

Maduka ya dawa za Binadamu/Mifugo

Viwanda Vidogo (Small Scale Manufacturely and Selling)

Uuzaji Bidhaa Jumla na Rejareja (Wholesale and Retail trade) n.k

Baadhi ya Masharti/Nyaraka zinazohitajika kama kiambatanisho na masharti katika maombi ni ;

  • Mfanyabiashara anapaswa awe na hati ya usajili iwapo anatumia jina la biashara (Certificate of Registration or Incorporate).
  • Kama ni Kampuni mwombaji awe na memorandum and Article of Association ambazo zinaonyesha kuwa kampuni imeruhusiwa kufanya biashara anayoiomba.
  • Mwombaji awe na umri wa miaka 18 au zaidi
  • Awe na mahali/Eneo linalokubalika kwa aina ya biashara anayoiomba na isiwe vibanda vilivyopo kando kando ya barabara.
  • Awe na TIN certificate (Hati ya kujiandikisha kama mlipa kodi na hati ya uthibitisho wa mlipa kodi. Tax clearance certificate).
  • Awe na hati ya kuthibitisha uraia wake kama, Nakala ya Hati ya Kusafirisha ”passport” ya Tanzania,cheti cha kuzaliwa au Hati ya kiapo (Affidavit) au Kitambulisho cha Mpiga kura.
  • Kama ni mgeni awe na hati ya kuishi nchini daraja la “A” (Resident Permit Class “A”.)

Masharti mengine ya kupata leseni hutegemea aina ya biashara mtu anayetaka kuanzisha e.g. Mgahawa, Dawa za Binadamu na Mifugo, Vyakula,Nyama na Samaki inabidi afuate taratibu zote za afya na kupima wafanyakazi wake

Hati ya Utaalam (Professional Certificates) kwa biashara zote za kitaalam mfano ushauri wa kitaalam ( consultancy, uhandisi)

Hati ya kiuwakilishi (powers of attoney ) Iwapo wenye hisa wote wa kampuni wapo nje ya nchi itolewe kwa Mtanzania anaeishi hapa.

Ushahidi wa Maandishi kuwa ana mahali pa kufanyia biashara ( kwa mfano hati ya za nyumba, mkataba wa upangishaji, risiti za malipo ya kodi za majengo aua ardhi.

kwa leseni zinazothibitishwa na Mamlaka mbalimbali kama vile TFDA, EWURA, TCRA,CRB, TALA, CAL  lazima kwa na leseni ya biahara husika kabla ya kuomba leseni ya biashara 

Maombi mapya yatapitia ngazi za Serikali ya Mtaa/kijiji, Afya na Kisha Ofisi ya Biashara kwa ajili ya utoaji wa leseni.

ANGALIZO: Leseni za biashara hulipwa ada na kuhuishwa (renew) kila mwaka kwa mujibu wa sheria ya leseni za biashara No 25ya mwaka 1972 na mabadiliko yake ya mwaka 2014 na 2015.

Pakua Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara.pdf


Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.