• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

Kupata Huduma za uvunaji na usafirishaji wa Mazao ya Misitu

Taratibu za Kupata huduma ya uvunaji na usafirishaji wa Mazao ya Misitu


Uvunaji wa Miti ya kupandwa ya Mbao

1. Muombaji anayetaka kuvuna miti ya kupandwa ya mbao atalazimika kuandika barua yake ya kusudio la kufanya hivyo kwenda kwa Halmashauri ya Kijiji husika ikitaja aina ya uvunaji kama vile mbao, magogo,         mirunda, mahali uvunaji huo utakapofanyika, madhumuni ya uvunaji, aina ya miti na idadi yake.

2. Halmashauri ya Kijiji husika ikikubali ombi hilo, baada ya kupata ushauri wa Kamati ya Mazingira ya Kijiji, italipitisha ombi hilo kwa kuandika barua kwenda kwa Afisa Misitu Wilaya akiambatanisha na barua ya            muombaji wa uvunaji huo.

3. Afisa Misitu Wilaya akikubali maombi hayo ya uvunaji, atayapitisha na kisha muombaji atapewa Ruhusa ya Uvunaji wa Mazao Hayo kwa Kujaza Fomu Namba Moja.

4. Muombaji aliyepewa ruhusa ya uvunaji ataendelea na kazi yake na atakapomaliza atatakiwa kupata barua ya Mtendaji wa Kijiji husika kwenda kwa Afisa Misitu Wilaya, ikimtaarifu kuwa kazi ya uvunaji imekamilika na kunahitajika Huduma ya Nyundo na Kibali cha Kusafirishia mazao hayo kwa sasa.

5. Afisa Misitu Wilaya akishapokea barua hiyo atamuelekeza Meneja Misitu Wilaya wa TFS kutoa huduma hizo kwa mvunaji husika.

6. Mvunaji husika atalazimika kulipa Ushuru wa Halmashauri ya Wilaya, Gharama za Kibali cha Kusafirisia Mazao ya Misitu, Faini ya Kutumia Msumeno wa Nyororo kabla ya kupata huduma husika.

7. Wakati wa Kugongewa Nyundo, Mvunaji, Bwana Miti na Mtendaji wa Kijiji watalazimika kujaza Fomu Namba Mbili ya Ruhusa ya Kusafirisha Mazao ya Misitu ambayo ni moja ya nyaraka muhimu.


Uvunaji wa Miti ya Matunda

1. Muombaji anayetaka kuvuna miti ya matunda atalazimika kuandika barua yake ya kusudio la kufanya hivyo kwenda kwa Halmashauri ya Kijiji husika ikitaja aina ya uvunaji kama vile mbao, magogo, mirunda, mahali uvunaji huo utakapofanyika, madhumuni ya uvunaji, aina ya miti na idadi yake.

2. Halmashauri ya Kijiji husika ikikubali ombi hilo, baada ya kupata ushauri wa Bwana au Bibi shamba na Kamati ya Mazingira ya Kijiji, italipitisha ombi hilo kwa kuandika barua kwenda kwa Afisa Misitu Wilaya akiambatanisha na barua ya muombaji wa uvunaji huo.

3. Afisa Misitu Wilaya akikubali maombi hayo ya uvunaji, atayapitisha na kisha muombaji atapewa Ruhusa ya Uvunaji wa Mazao Hayo kwa Kujaza Fomu Namba Moja.

4. Muombaji aliyepewa ruhusa ya uvunaji ataendelea na kazi yake na atakapomaliza atatakiwa kupata barua ya Mtendaji wa Kijiji husika kwenda kwa Afisa Misitu Wilaya, ikimtaarifu kuwa kazi ya uvunaji imekamilika na kunahitajika Huduma ya Nyundo na Kibali cha Kusafirishia mazao hayo kwa sasa.

5. Afisa Misitu Wilaya akishapokea barua hiyo atamuelekeza Meneja Misitu Wilaya wa TFS kutoa huduma hizo kwa mvunaji husika.

6. Mvunaji husika atalazimika kulipa Ushuru wa Halmashauri ya Wilaya, Gharama za Kibali cha Kusafirisia Mazao ya Misitu, Faini ya Kutumia Msumeno wa Nyororo kabla ya kupata huduma husika.

7. Wakati wa Kugongewa Nyundo, Mvunaji, Bwana Miti na Mtendaji wa Kijiji watalazimika kujaza Fomu Namba Mbili ya Ruhusa ya Kusafirisha Mazao ya Misitu ambayo ni moja ya nyaraka muhimu.


Uvunaji wa Miti ya asili

1. Muombaji anayetaka kuvuna miti ya miti ya asili atalazimika kuandika barua yake ya kusudio la kufanya hivyo kwenda kwa Halmashauri ya Kijiji husika ikitaja aina ya uvunaji kama vile mbao, magogo au mirunda, mahali uvunaji huo utakapofanyika, madhumuni ya uvunaji, aina ya miti na idadi yake.

2. Halmashauri ya Kijiji husika ikikubali ombi hilo, baada ya kupata ushauri wa Kamati ya Mazingira ya Kijiji, italipitisha ombi hilo kwa kuandika muhtasari kwenda kwa Afisa Misitu Wilaya akiambatanisha na barua ya muombaji wa uvunaji huo.

3. Afisa Misitu Wilaya akishayapokea maombi hayo ya uvunaji, atayawasilisha kwenye Kamati ya Uvunaji Wilaya ambako yatajadiliwa rasmi.

4. Maombi hayo yakishapitishwa, ukaguzi na upimaji wa miti hiyo utafaanyika ili kukadiria ujazo na gharama za malipo, kisha waombaji watapewa Liseni ya Uvunaji na Ruhusa ya Uvunaji wa Mazao Hayo kwa Kujaza Fomu Namba Moja.

5. Muombaji aliyepewa Liseni na ruhusa ya uvunaji ataendelea na kazi yake na atakapomaliza atatakiwa kupata barua ya Mtendaji wa Kijiji husika kwenda kwa Afisa Misitu Wilaya, ikimtaarifu kuwa kazi ya uvunaji imekamilika na kunahitajika Huduma ya Nyundo na Kibali cha Kusafirishia (TP) mazao hayo kwa sasa.

6. Afisa Misitu Wilaya akishapokea barua hiyo atamuelekeza Meneja Misitu Wilaya wa TFS kutoa huduma hizo kwa mvunaji husika.

7. Mvunaji husika atalazimika kulipa Ushuru wa Halmashauri ya Wilaya, Gharama za Kibali cha Kusafirisia Mazao ya Misitu, Faini ya Kutumia Msumeno wa Nyororo kabla ya kupata huduma husika.

8. Wakati wa Kugongewa Nyundo, Mvunaji, Bwana Miti na Mtendaji wa Kijiji watalazimika kujaza Fomu Namba Mbili ya Ruhusa ya Kusafirisha Mazao ya Misitu ambayo ni moja ya nyaraka muhimu.


Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.