• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

Kupata Hati miliki ya Ardhi

Taratibu za Kupata Hati miliki ya Ardhi


Kwa viwanja Vilivyopimwa

1. Kulipa gharama za kuandaliwa hati miliki ambazo ni Primiamu, Ada ya Maombi ya Kiwanja, Ada ya Soroveya, Gharama ya Malipo ya Ramani kwa Ajili ya Kuandaliwa Hati, Malipo ya Hati, Malipo ya Stampu, Malipo ya Kodi ya Ardhi na Malipo ya Usajili wa Kiwanja husika.

2. Baada ya kukamilika kwa malipo hayo yote, atatakiwa kuwasilisha Kitambulisho chochote kinachokubalika kwa mujibu wa sheria za nchi kama vile Nida, Mpiga Kura, Cheti cha Kuzaliwa n.k.

3. Atatakiwa pia awasilishe Picha Sita za Pasipoti Saizi za Rangi za hivi karibuni.


Kwa Urasimishaji wa Makazi

1. Halmashauri kujenga hoja juu kuhusu uwepo wa haja ya kuandaa mpango wa urasimishaji.

2. Halmashauri kupitisha azimio lakuandaa mpango wa urasimishaji.

3. Halmashauri kutoa tangazo kwenye gazeti la serikali na magazeti yanayosomwa katika eneo linalokusudiwa kuandaliwa mpango wa urasimishaji na kuweka matangazo kwenye mbao za matangazo katika eneo husika.

4. Kuitisha mkutano wa wadau wote katika eneo litakaloandaliwa mpango wa urasimishaji.

5. Mkutano wa wadau utakaokuwa na matokeo chanya halmashauri itasaini makubaliano na kuunda Kamati ya urasimishaji.

6. Kamati ya urasimishaji itaandaa inventory ya nyumba, huduma, ubora wa ardhi, taratibu za umiliki matumizi ya ardhi yaliyopo na miundombinu iliyopo katika eneo husika kama vile umeme, maji n.k.

7. Kukubaliana taratibu za uandaaji wa mpango wa urasimishaji katika eneo husika kama vile;

          (a)Kulipia gharama za mchoro wa mipango miji na gharama za soroveya.

         (b)Kulipia gharama za za mchoro wa mipango miji na soroveya kuwasilishwa Wizara ya Ardhi kwa ajili ya kupitishwa.

         (c)Kulipa gharama za kuandaliwa hati miliki ambazo ni Primiamu, Ada ya Maombi ya Kiwanja, Ada ya Soroveya, Gharama ya Malipo ya Ramani kwa Ajili ya Kuandaliwa Hati, Malipo ya Hati, Malipo ya Stampu,                       Malipo         ya Kodi ya Ardhi na Malipo ya Usajili wa Kiwanja husika.

        (d)Baada ya kukamilika kwa malipo hayo yote, atatakiwa kuwasilisha Kitambulisho chochote kinachokubalika kwa mujibu wa sheria za nchi kama vile Nida, Mpiga Kura, Cheti cha Kuzaliwa n.k..

        (e)Atatakiwa pia awasilishe Picha Sita za Pasipoti Saizi za Rangi za hivi karibuni.


Kwa Mashamba


1. Kuwasilisha ombi la kutaka kupimiwa ardhi ya shamba lake kwa Halmashauri ya Kijiji husika.

2. Kujadiliwa ombi lake la kutaka kupima shamba lake na Halmashauri ya Kijiji husika.

3. Halmashauri ya Kijiji husika wataandika muhtasari iwapo watakuwa wamekubali ombi hilo.

4. Halmashauri ya Kijiji husika itaitisha Mkutano Mkuu wa Wanakijiji wote ili kujadili ombi hilo la kutaka kuhawilisha ardhi hiyo.

5. Wanakijiji wakiridhia ombi hilo la kuhawilisha ardhi, Mwenye Shamba ataandika barua yenye kuambatana na mihtsari yote miwili kwenda kwa Mkurugenzi Mtendaji Wilaya, kuomba kuhawilisha shamba lake.

6. Mkurugenzi Mtendaji Wilaya akiridhia, Mwenye Shamba atatakiwa kuhakikisha kuwa Afisa Ardhi Mteule Wilaya na Mkuu wa Wilaya wanafika katika kijiji husika na kufanya Mkutano Mkuu wa Hadhara wa Wanakijiji wote     ili kujiridhisha na maombi haayo ya kuhawilisha ardhi.

7. Wanakijiji wakiridhia uhawilishaji huo wa ardhi mbele ya Mkuu wa Wilaya na Afisa Ardhi Mteule Wilaya, Afisa Ardhi Mteule ataandika barua kwenda kwa Waziri wa Ardhi ili kumtaarifu kuhusu ombi hilo la uhawalishaji         wa ardhi.

8. Waziri wa Ardhi akikubali uhawilishaji huo wa ardhi, Mwenye Shamba ataandika tangazo la kusudio la kuhawilisha ardhi hiyo na kuliweka kwenye shamba husika kwa muda wa siku 90.

9. Kama hakuna pingamizi lolote litakalotolewa na mtu yeyote, taratibu za kuhawailisha shamba hilo zitaendelea kwa mujibu wa sheria za ardhi.

10. Atatakiwa kulipia gharama za mchoro wa mipango miji na gharama za soroveya.

11. Atatakiwa kulipia gharamza za mchoro wa mipango miji na soroveya kuwasilishwa Wizara ya Ardhi kwa ajili ya kupitishwa.

12. Atatakiwa kulipa gharama za kuandaliwa hati miliki ambazo ni Primiamu, Ada ya Maombi ya Kiwanja, Ada ya Soroveya, Gharama ya Malipo ya Ramani kwa Ajili ya Kuandaliwa Hati, Malipo ya Hati, Malipo ya Stampu,       Malipo ya Kodi ya Ardhi na Malipo ya Usajili wa Kiwanja husika.

13. Baada ya kukamilika kwa malipo hayo yote, atatakiwa kuwasilisha Kitambulisho chochote kinachokubalika kwa mujibu wa sheria za nchi kama vile Nida, Mpiga Kura, Cheti cha Kuzaliwa n.k.

14. Atatakiwa pia awasilishe Picha Sita za Pasipoti Saizi za Rangi za hivi karibuni.



Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.