Mei 28, 2021 - Muheza
Mkuu wa Wilaya wa Muheza anawatangazia wananchi wote wa Wilaya ya Muheza kuwa Mbio za Mwenge wa Uhuru Maalum kwa 2021 utakimbizwa siku ya Jumapili, tarehe 30 Mei, 2021.
Mwenge wa Uhuru Maalum utapokelewa kutoka katika wilaya ya Pangani katika Kijiji cha Mkuzi kata yaMkuzi na kupitia miradi ifuatayo:
Mkesha wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Maalum Utafanyika katika Uwanja wa Jitegemee Wilayani Muheza.
Kauli Mbiu ya Mbio za Mwenge wa Uhuru Maalum kwa 2021 ni “Tehama ni Msingi wa Taifa Endelevu. Itumie kwa Usahihi na Uwajibikaji”.
Wote Mnakaribishwa.
Imetolewa na Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano,
Halmashauri ya Wilaya ya Muheza.
Muheza Mjini, Bomani
Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA
Simu: 027-2977545
Simu ya Mkononi: 0746525653
Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz
Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.