• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YA WILAYA MUHEZA INAWANGAZIA NAFASI ZA KAZI MTENDAJI KIJIJI

04 May 2020

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza amepokea kibali cha Ajira mbadala cha kuajiri nafasi 02 za ajira ya kudumu za Watendaji wa Kijiji III toka kwa Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb.Na FA.170/369/01/”A”/36 cha tarehe 31/03/2020 hivyo  anawatangazia Watanzania wote wenye sifa kuomba nafasi ya kazi.

MTENDAJI WA KIJIJI III  (NAFASI  02) 

1.Sifa za Muombaji:-

1.1. Wenye elimu ya kidato cha nne (IV) au kidato cha sita (VI)

1.2. Awe aliyehitimu  mafunzo ya Astashahada /Cheti katika mojawapo ya fani zifuatazo;- 

Utawala,Sheria,Elimu ya Jamii,Usimamizi wa Fedha,Maendeleo ya  Jamii na Sayansi ya Sanaa kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo,Dodoma au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

1.3. Awe na umri usiozidi miaka 45

2. Masharti ya Jumla kwa waombaji

(a)Mwombaji awe Mtanzania

(b)Asiwe amewahi kutiwa hatiani kwa kosa la jinai

(c)Asiwe amewahi kufukuzwa kazi Serikalini

(d)Maombi yote yaambatanishwe na maelezo binafsi ya mwombaji (CV) na wadhamini wawili na

   namba zao za simu

(e)Maombi yote yaambatanishwe na vivuli vya vyeti vya kuhitimu.

(g)Maombi yawe na anuani kamili pamoja na namba za simu ili kurahisisha mawasiliano

(h)Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 18/05/2020 saa 09.30 alasiri

(i)Waombaji wenye sifa wataitwa kwenye usaili

(j)Mwombaji ni lazima awe Raia wa Kitanzania.

(k)Kwa waombaji waliokuwa kazini maombi yao LAZIMA yapitie kwa Waajiri wao.

Kazi na Majukumu ya Mtendaji wa Kijiji III:-

(a)Kukusanya mapato ya Kijiji na Halmashauri.

(b)Kusimamia Ulinzi na Usalama wa Raia na mali zao,kuwa mlinzi wa Amani  na Msimamizi wa

    Utawala Bora katika Kijiji.

 (c)Kuratibu na kusimamia upangaji wa utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya Kijiji.

(d)Katibu wa Mikutano na kamati zote za Halmashauri ya Kijiji.

(e)Kuandaa taarifa za utekelezaji na kazi katika eneo lake na kuhamasisha wananchi katika kuunda

   na kutekeleza mikakati ya kuondoa umasikini na ujinga na maradhi.

(f)Kiongozi wa wakuu wa vitengo vya kitaalam katika Kijiji

(g)Mwenyekiti wa Kikao cha wataalam  waliopo katika kikao

(h)Kusimamia utungaji na utekelezaji wa sheria ndogo za Kijiji

  Ngazi ya Mshahara

  Ngazi ya Mshahara kwa cheo hiki ni Tshs. TGS. B1  390,000/=  kwa mwezi.

  Maombi yote yatumwe kwa:-

MKURUGENZI MTENDAJI WILAYA,

HALMASHAURI YA WILAYA,

S.L.P 20,

MUHEZA.

 

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI, VIBARUA WAKUSANYAJI USHURU June 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI, NAFASI ZA WATENDAJI WA VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 01, 2024
  • TANGAZO LA NYONGEZA KUITWA KWENYE USAILI October 03, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSHWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII KUWAFIKIA WANANCHI VIJIJINI

    February 14, 2025
  • OMBI KUPATIWA HALMASHAURI YA PILI NDANI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUHEZA

    February 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.