• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

DC MUHEZA AONYA VITENDO VYA UWEKEZAJI MAZAO MACHANGA

Posted on: November 19th, 2020


Mkuu wa Wilaya Muheza Mhe, Mhandisi Mwanasha Tumbo amepiga marufuku vitendo vya uwekezaji wa mazao ya viungo vinavyofanywa na wananchi wa Muheza wenye mashamba yanayolima mazao hayo ili yaweze kuwa chachu ya maendeleo katika maisha yao.

Ameyasema hayo wakati wa kikao cha jukwaa la mazao ya viungo lililofanyika siku ya jumanne  tarehe 17/11/2020 katika ukumbi wa MCHINA uliopo katika kata ya Nkumba ambacho kilijumuisha wadau mbalimbali wa mazao.

Jukwaa hilo lilihudhuriwa na wataalam kutoka makao makuu wilaya, watendaji kata, watendaji vijiji, maafisa ugani, wanunuzi wa mazao ya viungo(wafanyabiashara), viongozi wa mashirika au taasisi zinazojishughulisha na mazao ya viungo , kamati ya ulinzi na usalam na wakulima.

Akizungumza katika jukwaa hilo Mhe, Mwanasha amesema ni marufuku kwa Mkulima yeyote kuuza au kuwekeza mazao machanga ambayo hayajakomaa kwa kuuza kwa mfanyabiashara au mtu yeyote atakayebainika ametenda kosa hilo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

Akiwataka wakulima wafuate kanuni na taratibu za serikali Mkuu wa Wilaya amemtaka Mwanasheria kuhakikisha sheria ndogo za kilimo cha uvunaji wa mazao hayo inaandaliwa haraka iwezekanavyo ili watakaovunja sheria wachukuliwe hatua.

Kwa upande wake Afisa kilimo, Ushirika na Umwagiliaji Wilaya Muheza Hoyange Mbwambo Marika amewataka wadau wa kilimo kujisajili na kuuliza maswali kwa kutumia namba hi 0689666662 ili waweze kutatuliwa changamoto zinazowasumbua.

Nae Mwenyekiti wa jukwaa la viungo ambaye ni MTendaji kata ya Kisiwani Bw. AYUBU MHINA aliwataka wadau hao wapange tarehe ya uvunaji wa mazao ya viungo, ikatakwa kwamba Potwe Nkumba na Tongwe wataanza kuvuna pilipilimanga mnamo Januari , 20/12/2020 na kwa ukanda wa Magoroto uvunaji utaanza tarehe 15/1/2021. Ikiwa ukanda wa Amani uvunaji ulishaanza

Aidha Uzinduzi wa uvunaji wa Mazao haya ya viungo utafanyika mnamo tarehe 20/12/2020 katika kijiji cha Ubembe kata ya Nkumba, wananchi wametakiwa kuhudhuria kwa wingi ili kufanikisha zoezi hili.


 

MKUU WA WILAYA MUHEZA MHE, MWANASHA TUMBO AKIZUNGUMZA WAKATI WA JUKWAA LA WADAU WA VIUNGO AFISA KILIMO USHIRIKA NA UMWAGILIAJI WILAYA AMBAYE NI KAIMU MKURUGENZI MTENDAJI WILAYA MUHEZA(KULIA) BW. HOYANGE MBWAMBO MARIKA AKIWA NA MWENYEKITI WA JUKWAA LA WADAU WA VIUNGO AMBAYE PIA NI AFISA MTENDAJI KATA YA KISIWA NI AYUBU MHINA (KUSHOTO) WAKISILIZA TAARIFA MBALIMBALI ZILIZOKUWA ZIKIWASILISHWA                                                                                               WADAU WA JUKWAA   WAKIWASILISHA TAARIFA MBALIMBALI ZA MAZAO YA VIUNGO SEHEMU YA WATAALAMU WALIOSHIRIKI KATIKA JUKWAA LA WADAU WA VIUNGO TAREHE 17/11/2020 KATIKA UKUMBI WA MCHINA - NKUMBA SEHEMU YA WADAU MBALIMBALI WALIOSHIRIKI KATIKA JUKWAA LA VIUNGO TAREHE 17/11/2020, WAKULIMA, WATENDAJI KATA, WATENDAJI VIJIJI, MAAFISA UGANI, 


Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.