• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

DAS MUHEZA AWATAKA WANACHI KUWA NA HATI ZA UMILIKI ARDHI

Posted on: September 14th, 2022


Katibu tawala wa Wilaya ya Muheza Bi. Desderia Haule amewataka wananchi kuwa na hati miliki za maeneo/ viwanja vyao ili kujiepusha na migogoro ya ardhi inayoweza kujitokeza hapo mbeleni.

Ameyasema hayo alipokuwa mgeni rasmi katika hafla ya utoaji hati miliki za maeneo ya ya viwanja vya Shaurimoyo, na Mdote iliyofanyika siku ya jumanne tarehe 13/9/2022 katika eneo la Shule ya Msingi Mdote lililopo katika kitongoji cha Majengo kata ya Majengo Wilayani Muheza.

“Ukiwa na hati una uhakika na umiliki wa eneo lako, hati hii inaondoa migogoro kati ya mtu mmoja na mwingine, ikitokea mtu amevamia eneo lako ukimpeleka kwenye vyombo vya kisheria ukionesha hati yako atakayekuja nyuma ataonekana hana uhalali na umiliki wa eneo hilo” alisema katibu tawala Muheza.

Akizitaja faida za kuwa na hati miliki za eneo au viwanja Bi Desderia amesema husaidia kupata mikopo katika taasisi za kifedha kama vile kwenye benki na taasisi nyingine binafsi zinazokopesha fedha ambazo mara nyingi huhitaji hati kama moja ya dhamana ya mkopo wa mtu,

Aliendelea kuwa hati huongeza thamani ya eneo, unapokuwa na hati miliki ya eneo lako ukitaka kulliuza eneo hilo huwezi kuliuza kwa bei ya chini kama mwenye eneo lisilo na hati.

Kwa upande wake Kamishina msaidizi wa ardhi Mkoa wa Tanga Tumaini Gwakisa amezungumzia suala la urasimishaji wa ardhi  kuwa ulianza Mwaka 2010 na unatarajiwa kukamilika mnamo mwaka 2023 na mpaka kufikia siku ya leo viwanja 929 vya kata ya Majengo vimepimwa na kurasimishwa miongoni mwa viwanja hivyo 570 Vya Shaurimoyo na Mdote viwanja 359.ikiwa leo hati 131 zitatolewa kwa wananchi waliolipia na kukamilisha taratibu zote za upatikanaji wa hati.

“ Nitoe rai kwa wananchi wenzangu wa Muheza ikibainika mtu amepata Hati kwa njia ya udanganyifu tunamuondoa kwenye daftari la kumbukumbu la usajili kwa kuwa Mamlaka ya kufanya hivyo ipo kwa Mujibu wa sheria” alisema Gwakisa.

Awali akisoma taarifa ya utekelezaji wa shughuli za upimaji na urasimishaji wa ardhi katika kata hiyo Afisa Mipango Miji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Happiness Namponji amesema hati zitakazotolewa ni kwa ajili ya watu waliolipia gharama ya shilingi 130,000 ya upataji wa hati .

Tangazo

  • WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA KAZI ZA AFYA October 12, 2024
  • MATOKEA YA NAFASI ZA UDEREVA October 10, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WATENDAJI VIJIJI, MADEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI October 25, 2024
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • RAIS SAMIA AKOSWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI MAGILA AMRUHUSU AKAE KWENYE KITI CHAKE CHA RAIS

    February 28, 2025
  • MICHAEL MSECHU AONGOZA WANANCHI WA MUHEZA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    February 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata
  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.