• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

ukamilishaji wa madarasa 3, Ofisi na Matundu 9 ya Vyoo Shule ya Msingi Ngarani

Start Date: 2025-10-31
End Date: 2026-01-30

11.0 TAARIFA YA MRADI WA UKAMILISHAJI WA MADARASA MATUTU NA OFISI PAMOJA NA UJENZI WA VYOO MATUNDU TISA

 SULE YA MSINGI NGARANI 2025/2026

11.1 UTANGULIZI.

Shule ya msingi Ngarani ipo kata ya Kwakifua, Tarafa ya Muheza, shule inajumla ya wanafunzi 632 kati yao wavulana 314 na wasichana 318.  Shule ina jumla ya walimu 9 kati yao me 2 na ke 7.  Pia shule ina kituo shikizi kilichopo Kijiji cha Mpakani shule hii iliingiziwa fedha za mradi wa ukamilishaji wa vyumba vitatu (3) vya madarasa na ofisi.  Pia ujenzi wa vyoo matundu tisa (9) kutoka mradi wa Boost wenye thamani ya jumla ya sh. 58,900,000/=  

Ujenzi huu ulianza tarehe 31/10/2025 kwa mkataba wa miezi 3 na unatarajiwa kukamilika  tarehe 30/01/2026.

11.2 HALI YA MRADI.

 

Hali ya miradi yote miwili yaani mradi wa ukamilishaji wa vyumba vya madarasa na ofisi na ujenzi wa vyoo matundu tisa (9) ni kama ifuatavyo:-

Mradi wa ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa na ofisi mradi huu upo hatua za mwisho za umaliziaji zikiwemo upakaji wa rangi na ukamilishaji wa sakafu ambapo tunasubiri tiles kutoka kwa mzabuni.

Mradi wa matundu tisa (9) ya vyoo:-

Mradi huu uko katika hatua ya ukamilishaji na usafi uwekaji wa sakafu.  Na umekamilika kwa asilimia 90.

 

11.3 GHARAMA ZA MRADI.

KIASI

KILICHOPOKELEWA

KIASI KILICHOTUMIKA

KIASI KILICHOBAKI

BOOST

58,900,000/=

47,752,750.00

11,147,250.0

Nguvu za wananchi

22,589,240/=

22,589,240.00

-

Mfuko wa jimbo
Saruji 15 Tshs.225,000/=

225,000.00

-

JUMLA
59,125,000

70,566,990

11,147,250


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA UCHAGUZI October 06, 2025
  • MAREKEBISHO YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO October 23, 2025
  • TANGAZO LA WAANDAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 03, 2026
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA September 24, 2025
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • DC SEBABILI AREJESHA TABASAMU LA WAKAZI WA KIJIJI CHA MUUNGANO

    February 10, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA KIASI CHA SHS BIL. 48

    January 23, 2026
  • “KUKOSA SARE ZA SHULE KISIWE KISINGIZIO CHAKUTOKURIPOTI SHULENI”

    January 14, 2026
  • MUHEZA YATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI MKUU

    November 21, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari
  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.