• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Muheza District Council
Muheza District Council

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa Kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya AFYA
    • Kilimo
    • Elimu
    • Ardhi
    • TEHAMA
      • Huduma
      • Mifumo
        • PLANREP
        • FFARS
        • PREM
        • Salary Slip Portal
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha

Ujenzi wa Jengo la Karakana na Matundu 02 ya Vyoo Shule ya Msingi na Ufundi Magila

Start Date: 2025-05-08
End Date: 2025-07-08

2.0 TAARIFA YA MIRADI UJENZI WA JENGO LA KARAKANA NA MATUNDU 02 YA VYOO SHULE YA MSINGI NA UFUNDI MAGILA

2.1 Utangulizi

Shule ya msingi Magila ipo Kata ya Magila, tarafa ya Muheza, shule hii ina jumla ya wanafunzi 397 kati yao wavulana 184 na wasichana 213 na walimu 12 me 5 na ke 7 pia kufuatia muongozo tuliopewa tumeshafanya usajili wa wanafunzi tarajali wa mafunzo ya ufundi 82 me 25 na ke 57 na usajili bado unaendelea.Shule hii ya ufundi ina jumla ya Walimu 5 kati yao me 2 na ke 3 ambao ni miongoni mwa walimu 12 waliotajwa hapo juu.

Shule hii iliingiziwa fedha  za mradi wa ujenzi wa jengo la karakana na matundu mawili  ya vyoo vyenye thamani ya jumla ya Sh. 54,000,000/= Kutoka Serikali kuu kupitia Mhisani COICA ambapo fedha hiyo iliingizwa kwa awamu mbili  awamu ya kwanza ambayo iliingizwa Sh. 27,000,000/=, na awamu ya pili iliingizwa Sh. 27,000,000/=. Ujenzi huu ulianza rasmi mnamo tarehe 08/05/2025 kwa mkataba wa siku 60 hivyo unatarajiwa kukamilika  tarehe 08/07/2025.

2.2 HALI YA MRADI

Hali ya mradi kwa sasa tumeweza kutekeleza ujenzi huu kwa maeneo yote mawili kama ifuatavyo;-

Mradi wa jengo la karakana; Mradi huu uko kwenye hatua za mwisho za umaliziaji ambapo ujenzi umekamilika kwa 98%.

Mradi wa matundu mawili ya choo;  Mradi huu uko kwenye hatua ya upigaji wa ripu na ujenzi wa lampu na ngazi ambapo ujenzi umekamilika kwa 85%.

 

2.3 GHARAMA ZA MRADI 

Gharama ya mradi huu ni kama ifuatavyo;-

A.Ujenzi wa jengo la karakana na matundu 2 ya vyoo

Gharama iliyotumika hadi sasa katika ujenzi wa jengo la karakana na matundu 2 ya vyoo ni kama ifuatavyo:-

CHANZO CHA FEDHA

FEDHA POKELEWA

ZILIZOTUMIKA

 SALIO BANK

COICA

54,000,000.00

53,105,777.00

894,223.00

 DED MUHEZA

1,600,000.00

1,600,000.00

0

WANANCHI

120,000.00

120,000.00

0

JUMLA KUU

55,720,000.00

54,825,777.00

894,223.00

 

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALIMBALI ZA UCHAGUZI October 06, 2025
  • MAREKEBISHO YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO October 23, 2025
  • TANGAZO LA WAANDAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 03, 2026
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA September 24, 2025
  • Angalia Vyote

Habari mpya

  • DC SEBABILI AREJESHA TABASAMU LA WAKAZI WA KIJIJI CHA MUUNGANO

    February 10, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA KIASI CHA SHS BIL. 48

    January 23, 2026
  • “KUKOSA SARE ZA SHULE KISIWE KISINGIZIO CHAKUTOKURIPOTI SHULENI”

    January 14, 2026
  • MUHEZA YATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI MKUU

    November 21, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Mhe. Samia Suluhu Hassan Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania akizindua uchangiaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mawasiliano ya Walimu wakuu wa Shule za Msingi na sekondari
  • Sheria Ndogo za Halmashauri
  • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Video za Matukio Mbalimbali
  • Huduma za Afya zinazopatikana
  • Mpango Kazi wa Halmashauri
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani na Taarifa za Kata

Viunganishi linganifu

  • Ikulu
  • Mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi , Milma ya Usambara Mashariki, Muheza.
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Idara kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Muheza Mjini, Bomani

    Anwani ya posta: S.L.P 20 MUHEZA

    Simu: 027-2977545

    Simu ya Mkononi: 0746525653

    Barua Pepe: ded@muhezadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Muheza District Council . All rights reserved.